Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Baba kaa kando nipo kwenye ovulation 😎
Pokea tu mwanangu
2ded7117-4f89-4497-aeaf-f00198b5572c.jpeg
 
Umwambie mwanaume humu ni masikini huoni kama una mpeperushia ndege wake 😄 anyway muhimu tuheshimiane tu tuwe na lugha za staha

Ukiweza ku ignore ni raha sana
Ila mie pia mood ikiwa off unavyokuja ndio navyokupokea
Kuna kichaa humu alitaka kunipanda kicwani yule ningemchekea alikua ananizoea mnoo
Maana alikurupuka kama chafya na kuanza vitisho 😀

Anakutishia vipi mtu hakujui! Nipo zangu Kazuramimba, unanitishiaje JF hapa kwa mfano!
 
Back
Top Bottom