Mwanzo 3:15 Mwanzo 3:15
[15]nami nitaweka

UADUI kati YAKO na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
+++++++++++++++++++++++++++
Zingatia huo mstari..
Wisdom 2:24
But by the ENVY of the devil, death entered the world,
and they who are allied with him experience it.
Biblia. Wagalatia 4:4
[4]Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na *
mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,

uzao wa Mwanamke..
Biblia. 1 Yohana 3:8
[8]atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili MWANA WA MUNGU alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
Kupitia Kristo wamezaliwa wama wengi
Yohana 1:13
[13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.
-----------------------------------------------------
Biblia. Ufunuo wa Yohana 20:2
[2]Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
Tutazame uzao wa ibilisi:-
Biblia. Ufunuo wa Yohana 12:7
[7]Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule *joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;*
Mathayo 25:41
[41]Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari

Ibilisi na malaika zake;
Uzao mwingine wa ibilisi. Ni wale wanaozaliwa na wanadamu lakini hawayatendi mapenzi ya Mungu.
Yohana 8:44
[44]

Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
Lakini Mungu amekuja na Agano jipya ambapo ametangaza rasmi kisasi cha Hukumu dhidi ya adui yake.
Kisasi hiki ni jahanum ya Moto wa Milele.
Isaya 42:1
[1]Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.
Mathayo 12:18
[18]Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.
Mathayo 23:33
[33]Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Conclusiom
Uwepo wa shetani ni matokeo ya adhabu ya bustani ya Eden.
Na kua Mungu hakumuondoa bali alimuacha ili awe adui yetu. Ila alitupa uwezo wa kumponda kichwa. ila yeye akawa na uwezo wa lituchubua kisigino.
Luka 10:19
[19]Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.