[QUOTE uid=370834 name="AMBASSADOR-M" post= 17188812]fikra zetu zinapuuzwa na wala ukijaribu kufikiria tofauti unapingwa na kuuliwa ikibidi
hiko ndo kilichokua kinatokea kipindi cha ukoloni, THE ONLY WAY OUR GRANDPAS COULD LIVE WAS TO SUBMIT THEMSELVES TO THE AUTHORITY, AND BECOME CHRISTIANS, OTHERWISE THEY GET KILLED.. wazee wetu walilazimishwa kuwa wakristo, na majina yao wakabadilishwa wakapewa majina ya wakoloni, mfano eric, james, richard n.k..
Ndo mana mimi na wewe hatuna majina ya kibantu, sisi wote majina yetu ni matokeo ya usilimishaji huu.. na tunapoelekea hata majina yetu ya asili (Surname) yatapotea kama yalivyopotea kwa black americans kama Eddie Griffin, Michael Jordan, Lebron James, Will Smith n.k hawa wote hawana tena majina ya mwisho ya kiafrika.
Mzungu anajua tukiamka na kuujua ukweli basi amekwisha, ndio mana mzungu halali, anatengeneza movies, great music and great TV programmes just to keep your mind entertained..
THE WHITE MAN WILL NEVER TELL YOU TO STOP THINKING CRITICALLY, ANAUA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI KWA KUKUPATIA VIBURUDISHO (ENTERTAINMENTS )[/QUOTE]
brillnoel sijui nikupe nini, umeona mbali rafiki... We will keep consuming what we dont produce and produce whaat we dont consume. Thats the tragedy of Africa