Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hata kama Mungu ametuumba na uwezo wa kutambua mema na mabaya ikiwemo uwezo mkubwa wa kureason lakini wewe Mkuu umepitiliza.
Kumbuka kila alilofanya Mungu lilikuwa ni kwa sababu,try to think in this way.
 
Siyo kweli kuwa mungu anatuwazia mema, mbona anayajua mabaya yatakayonikabili huko mbeleni? kwanin asizuie??? mnaongea kirahisi sana. Halafu mwanadamu hakujua chochote walka dhambi, je ufahamu wa kumkosea Mungu waliutoa wapi???? Where did the knowledge of sin came from??? was not something planted by God himself into human being mind bila binadam kujua chochote??? why tusikubali tuu japo ni ukweli mchungu kuwa Mungu anatuchezesha binadamu kama game kama play station????????? coz he knows the future much than he can determine our past, sasa utende wema Mungu anajua, utende ubaya pia alijua utautenda, je kosa la mwanadam lipo wapi jmn???
sio kweli kuwa Mungu huyajua mabaya yanayotaka kukujia asizuie wapo watu wengi sana Mungu huwapa taarifa ya mambo yanayokuja lkn je?ni kwa jinsi gani mpaka upate hicho kibali ni kwa usafi wa moyo anasema wale wamtafutao kwa bidii watamuona the way unavyomtafuta Mungu ndivyo na yeye huwa karibu na ww na akiwa karibu na wewe basi mabaya yote yatakayo juwa yamepangwa juu yako atakuepusha nayo.ufahamu wakumkosea Mungu waliupata kupitia maagizo waliyokuwa wamepewa na Mungu tokea mwanzo kuwa ukifanya hili na hili utakuwa umefanya dhambi. Mungu hajawahi kumchezea mwanadamu hata siku mmoja ila wanadamu ndio tunaomchezea Mungu tena vibaya kiasi kwamba Mungu angekuwa ndie mwanadamu basi angeshatuangamiza.cha kujua tu mambo ya Mungu ni ya usafi na usafi ni wa moyo ukitaka kujua kuwa Mungu yupo na anatenda kazi sawasawa mtafute jikite kutaka kumfahamu na si kumkosoa hakika utamuona na anatenda mimi kuhusu Mungu siadithiwi na mtu yeyote ila nimejitoa kumtafuta na ninataka nimjue na si kupitia kwa mtu yeyote ila kwa juhudi zangu kwa kulisoma neno lake na na kumuomba yeye Mungu wa mbinguni akubariki sana na maombi yangu kwa Mungu ikute unauliza kwa kujifunza na si vinginevyo.soma kitabu cha mwanzo 6:1-22 ndipo utaona ni kwa jinsi gani wanadamu tusivyokuwa na utii na usikivu kwa Mungu.
 
Naomba nipingane na wewe kwenye baadhi ya sehemu, kwanza kabla ya yote, unaamanaisha unaposema afrika haikuwahi kuwa na oldest civilization? yaani mkuu olduvai golge ndo oldest civilization iliyobaki? Mheshimiwa hivi unafahamu kwamba semitic languages kama (hebrew, arabic, phoenic,aramaic etct) ni tawi ya afroasiatic languages kwa maana chimbuko lake ni afrika? kuna sehemu nyingi sikubaliani na wewe ila naomba unijibu maswali yangu kwanza labda utakuwa unamaanisha kitu kingine.

Siwezi bisha kua olduvai is the oldest of all.
Lakini nachoweza kubisha ni amount ama volumes of informaton /Facts availablein Olduvai gorge hazitoshi kujibu maswali mbalimbali yanayoisumbua dunia mpaka sasa. Kwasababu ni chache na hazikuwahi kua documented na hiyo ancient civilaization.

Kwa mfano haziwezi kueleza technological evolution in details kama pala egypt, pia hazitoi majibu kuhusu uwepo wa ancient alliens, UFOs(Unknown Foreign Objects), and may be haziwezi eleza kuhusu viumbe wengine kama Jurassics, Dinosours and their extinctions.

Kuna vitu kama ancient technology, olduvai can only speak about most primitive known to man.
Lakini ukienda say Egypt, utakuta kuna vitu vikubwa kama obelsik, pyramids, etc..

Pia usisahau kuna pia civilaization Zilizozama baharini.


Kuhusu lugha hizo za hebrews kua na asili ya afrika.
It may be, logical true. Kwasababu, inazidi kudhihirisha sisi wanadamu tuna asili moja way back. Sio tofauti kama kondoo na mbuzi.
Ama punda na farasi ambao kuzaana ni tabu. Ofcause watazaa Mule, ambapo "Mule" hawezi kuendelea kuzaa mtoto.
 
sio kweli kuwa Mungu huyajua mabaya yanayotaka kukujia asizuie wapo watu wengi sana Mungu huwapa taarifa ya mambo yanayokuja lkn je?ni kwa jinsi gani mpaka upate hicho kibali ni kwa usafi wa moyo anasema wale wamtafutao kwa bidii watamuona the way unavyomtafuta Mungu ndivyo na yeye huwa karibu na ww na akiwa karibu na wewe basi mabaya yote yatakayo juwa yamepangwa juu yako atakuepusha nayo.ufahamu wakumkosea Mungu waliupata kupitia maagizo waliyokuwa wamepewa na Mungu tokea mwanzo kuwa ukifanya hili na hili utakuwa umefanya dhambi. Mungu hajawahi kumchezea mwanadamu hata siku mmoja ila wanadamu ndio tunaomchezea Mungu tena vibaya kiasi kwamba Mungu angekuwa ndie mwanadamu basi angeshatuangamiza.cha kujua tu mambo ya Mungu ni ya usafi na usafi ni wa moyo ukitaka kujua kuwa Mungu yupo na anatenda kazi sawasawa mtafute jikite kutaka kumfahamu na si kumkosoa hakika utamuona na anatenda mimi kuhusu Mungu siadithiwi na mtu yeyote ila nimejitoa kumtafuta na ninataka nimjue na si kupitia kwa mtu yeyote ila kwa juhudi zangu kwa kulisoma neno lake na na kumuomba yeye Mungu wa mbinguni akubariki sana na maombi yangu kwa Mungu ikute unauliza kwa kujifunza na si vinginevyo.soma kitabu cha mwanzo 6:1-22 ndipo utaona ni kwa jinsi gani wanadamu tusivyokuwa na utii na usikivu kwa Mungu.

swali dogo kwako mkuu, umekataa kuwa Mungu hayajui mambo mabaya yatakayomtokea badae mtu, JE UWEZO WA MUNGU KUONA UNA MIPAKA??? Inamaana mungu hajui maisha yangu mabaya na mazuri nitakayopitia miaka kadhaa ijayo? Ina maana Mungu nae kama binadam hajui yajayo??? ney kaaya
 
Mkuu naomba unifafanulie nini maana ya civilization;

Siwezi bisha kua olduvai is the oldest of all.
Lakini nachoweza kubisha ni amount ama volumes of informaton /Facts availablein Olduvai gorge hazitoshi kujibu maswali mbalimbali yanayoisumbua dunia mpaka sasa. Kwasababu ni chache na hazikuwahi kua documented na hiyo ancient civilaization.
hUkunielewa nilichouliza braza
Kwa mfano haziwezi kueleza technological evolution in details kama pala egypt, pia hazitoi majibu kuhusu uwepo wa ancient alliens, UFOs(Unknown Foreign Objects), and may be haziwezi eleza kuhusu viumbe wengine kama Jurassics, Dinosours and their extinctions.
Mheshimiwa ww unavyofahamu misri kwani ipo wapi, kwa haya majibu inaonyesha kabisa haufahamu historia ya misri na watu wake wa kale walokuwa wanaishi na afrika ya kaskazini kwa ujumla au labda umebase sana kiimani. jaribu kusoma vyanzo tofauti tofauti usome historia ya misri na afrika bila kusahau ethiopia languages na alphabet.

Kuna vitu kama ancient technology, olduvai can only speak about most primitive known to man.
Lakini ukienda say Egypt, utakuta kuna vitu vikubwa kama obelsik, pyramids, etc..
Mheshimiwa ww unavyofahamu misri kwani ipo wapi, kwa haya majibu inaonyesha kabisa haufahamu historia ya misri na watu wake wa kale walokuwa wanaishi na afrika ya kaskazini kwa ujumla au labda umebase sana kiimani. jaribu kusoma vyanzo tofauti tofauti usome historia ya misri na afrika bila kusahau ethiopia languages na alphabet.
Pia usisahau kuna pia civilaization Zilizozama baharini.
NINI maana ya civillization, ni zipi hizo zilizozama baharini na naomba ushahidi.

Kuhusu lugha hizo za hebrews kua na asili ya afrika.
It may be, logical true. Kwasababu, inazidi kudhihirisha sisi wanadamu tuna asili moja way back. Sio tofauti kama kondoo na mbuzi.
Ama punda na farasi ambao kuzaana ni tabu. Ofcause watazaa Mule, ambapo "Mule" hawezi kuendelea kuzaa mtoto.
Kwa haya majibu unayojibu jaribu kufuatilia ancient civilization kwa dunia nzima, usibase tu kwenye imani pekeee kama ndo main source. jaribu kusoma historia upate uwelewa yaani inaonyesha haufahamu vizuri historia na ancient civilization.
 
hahahaha Szczesny karibu kwenye jukwaa hili mkuu. watu waoga afu watenda dhambi afu wanajidai kumtetea wasiomwamini wala kufanya yasiyo mapenzi yake.
Tatizo wanataka wamtete Mungu mpaka wasipo weza

Sasa mfano sehemu ya kwanza kabisa et Mungu aliumba mti wa mema na mabaya, kwanza kwa nini auweke eden kama alijua uta waathiri kina adam!!?(mana yake ali waset hapo)

Halafu Mungu alitaka watu wabaki ni wajinga hawajiulizi kitu wana mfuata tuu anacho sema, walipo pata ujuzi aka kasirika!!?

Kipindi hiko Adam alikuwa hajui mabaya kwa sababu hakuwahi yaona, sasa mtu akielekezwa kuwa huu mti ni wa mema na mabaya angeelewa vipi!!?

Maswali ni mengi kuliko majibu
 
Mkuu Bibilia is the most generous book ever known to Man.

Historia kupitia bibilia inaonyesha wazi kua kabla ya Judaism ambayo imetangulia ukristo kulikua na dini na imani nyingine. Hivyo. Adam na eva hawakuanza na judaism..
Kulikua na imani hata wakati wa yakobo ambapo walikuwepo wanaoabudi vinyago
Mwanzo 31:19-34


Pia hata utumwa ulikuwepo na waisrael ni wahanga wa huu utumwa
Na civilization ya pale egypt waliijenga. Na wamisri walikua na miungu yao ambapo Judaism ilikua bado.
Yeremiah 43:12-13
So judaism ilianza rasmi wakiwa katika promised Land.

Utaona pia pamoja na kua tunatambua kua Mungu wa Israel ni mkuu, bado waisrael walipitia ups and down kama wanadamu wengine. Lakini kupitia kile wanaamini waliendelea kua thabiti. Unfortunately sisi waafrika hatuna cha kujivunia. Sanasana tumeshaachana na yale ya kwetu ya kipagan. Ukweli ni kua hayakutusaidia.
Jamii nyingi za waafrika tuliishi kama wanyama. Sio civilization bali wanyama pori kabisa. Most savage known to earth.

Ukristo umekuja na kutambua uwepo wa judaism na dini zingine kale ikiwemo ushirikina.

Hata bibilia imeandikwa lakini haikuthubutu kulazimisha kua dini ilianza kristian ama judaism pekee.

Hata hivyo kuna kitabu fulani kimejaribu kwa nguvu zote kuonyesha bibilia ilitangulia, wakati huo kikajinadi kua dini ya kwanza ya ulimwengu Wenye akili wameshang'amua uwongo wao. Ndio maana hakitumiwi kama reference popote.


Tukiachana na hili... Tunaona kua
Bibilia imetoa nadharia zote hizo ikiwemo nadharia ya angel and demons, nadharia ya interactiom kato ya wanadamu na malaika walioasi.
Mwanzo 6:2.


Kimsingi dini zilikuwepo hata wakati wa sodoma na gomorah.

So bado hizO afrikan religions ni dubius kwasababu hazijaeleA broadly kuhusu imani nyingine. Utakuta zimejikita katika rituals zao tu.
Na waandishi wake watakua ni historians ambao hawana uhakika namna zinavyopaswa kufuatwa.

So bibilia haina jelous katika uandishi wake.

Thats why imekua accepted without force all over the Globe as an ideal source.

Kule japan kuna mvumbuzi mmoja alikamatwa akipandikiza artefacts katika ardhi alikua na sylabas zake zinasomwa katika mitaala ya japan kumbe jamaa ni hoax.
So kuna scientific hoax katika hawa wana sayansi.



 
Tatizo wanataka wamtete Mungu mpaka wasipo weza

Sasa mfano sehemu ya kwanza kabisa et Mungu aliumba mti wa mema na mabaya, kwanza kwa nini auweke eden kama alijua uta waathiri kina adam!!?(mana yake ali waset hapo)

Halafu Mungu alitaka watu wabaki ni wajinga hawajiulizi kitu wana mfuata tuu anacho sema, walipo pata ujuzi aka kasirika!!?

Kipindi hiko Adam alikuwa hajui mabaya kwa sababu hakuwahi yaona, sasa mtu akielekezwa kuwa huu mti ni wa mema na mabaya angeelewa vipi!!?

Maswali ni mengi kuliko majibu

Szczesny upo sawa kabisaaa. maswali ni mengi kuliko majibu, mimi ilifikia muda niliacha hata kwenda kanisani kwasabb ya maswali haya kutokupatiwa majibu yakinifu na yenye mashiko. Aliyeumba ubaya na wema ni Mungu kupitia mti huo wa katikati (mti wenyewe ni nadharia, utata adi kiama).

God is playing the game btn the heaven and the earth, nobody knows his intentions.

karl marl aliwahi kusema, EVERYTHING EXISTS IN OPPOSITE DIRECTION. Namuunga mkono, na anamuunga mkono Mungu kuweka system ya vitu viwiliviwili duniani, wema na ubaya, urefu na ufupi, mbali na karibu, ucku na mchana, juu na chini, chungu na tamu, mme na mke nk nk nk.......

Kimoja kisipokuwepo kingine hakipo, Mungu na shetani ni opposite direction, lkn mungu mwenyew ndyo asili ya yote haya
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwani anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!

===================
Mshana Jr popote ulipo tunaomba uje utusaidie
 
Mkuu naomba unifafanulie nini maana ya civilization;


hUkunielewa nilichouliza braza

Mheshimiwa ww unavyofahamu misri kwani ipo wapi, kwa haya majibu inaonyesha kabisa haufahamu historia ya misri na watu wake wa kale walokuwa wanaishi na afrika ya kaskazini kwa ujumla au labda umebase sana kiimani. jaribu kusoma vyanzo tofauti tofauti usome historia ya misri na afrika bila kusahau ethiopia languages na alphabet.


Mheshimiwa ww unavyofahamu misri kwani ipo wapi, kwa haya majibu inaonyesha kabisa haufahamu historia ya misri na watu wake wa kale walokuwa wanaishi na afrika ya kaskazini kwa ujumla au labda umebase sana kiimani. jaribu kusoma vyanzo tofauti tofauti usome historia ya misri na afrika bila kusahau ethiopia languages na alphabet.

NINI maana ya civillization, ni zipi hizo zilizozama baharini na naomba ushahidi.


Kwa haya majibu unayojibu jaribu kufuatilia ancient civilization kwa dunia nzima, usibase tu kwenye imani pekeee kama ndo main source. jaribu kusoma historia upate uwelewa yaani inaonyesha haufahamu vizuri historia na ancient civilization.

It was called Heracleion by the ancient Greeks and Thonis by the ancient Egyptians. Once situated on the northern coast of Egypt and established as one of the most important port cities of the Mediterranean, this lost underwater city has been sitting at the bottom of the sea that it once served. Recently excavated after 1,200 years underwater,

Huu ni Mfano tu. Wa miji iliyo chini ya maji. Iko sehemu mbalimbali duniani.
 
civ·i·li·za·tion

\ˌsi-və-lə-ˈzā-shən\

noun

: the condition that exists whenpeople have developed effectiveways of organizing a society andcare about art, science, etc.: a particular well-organized anddeveloped society: all the societies of the world

Full Definition

1 a : a relatively high level ofcultural and technologicaldevelopment; specifically : thestage of cultural development atwhich writing and the keeping ofwritten records is attained
b : the culture characteristic of aparticular time or place2 : the process of becomingcivilized3 a : refinement of thought,manners, or taste
b : a situation of urban comfortciv·i·li·za·tion·al \-shnəl, -shə-nəl\ adjective

Examples

the impact of technicaladvancements on civilizationWe are studying ancient Greekcivilization.a book about life on the planetafter wars have destroyedcivilization

First use: 1772

Synonyms: culture, life, lifestyle,society

Antonyms: barbarianism,barbarism, philistinism

Hii ni according to Webster dictionary.

Lakini pale olduvai hakuna cha maana zaidi ya michoro tena mapangoni. wale ni wanyama kabisa. Savage.

Tena historia ya Tanzania iligubikwa na uongo kwa mfano kuambiwa mtumwa anatobolewa kisigino na mwarabu kisha anawekwa mnyororo anatembea. Kutoka tabora mpaka tanga.

Nikaja kushangaa kumbe hata huo utawala wa zanzibar haukua wa waarabu.
Sielewi huu usanii unafanyika.wa nini.?
 
Nazan kusoma hii thread yako nimefanya kosa kubwa sana kwa mungu wangu,wacha nikatubu tu,,
NB:USIMLAUMU MUNGU KWA KUMUUMBA SIMBA,BALI MSHUKURU KWA KUTOMPA MABAWA. Siku njema ktk bwana.
 
civ·i·li·za·tion

\ˌsi-və-lə-ˈzā-shən\

noun

: the condition that exists whenpeople have developed effectiveways of organizing a society andcare about art, science, etc.: a particular well-organized anddeveloped society: all the societies of the world

Full Definition

1 a : a relatively high level ofcultural and technologicaldevelopment; specifically : thestage of cultural development atwhich writing and the keeping ofwritten records is attained
b : the culture characteristic of aparticular time or place2 : the process of becomingcivilized3 a : refinement of thought,manners, or taste
b : a situation of urban comfortciv·i·li·za·tion·al \-shnəl, -shə-nəl\ adjective

Examples

the impact of technicaladvancements on civilizationWe are studying ancient Greekcivilization.a book about life on the planetafter wars have destroyedcivilization

First use: 1772

Synonyms: culture, life, lifestyle,society

Antonyms: barbarianism,barbarism, philistinism

Hii ni according to Webster dictionary.

Lakini pale olduvai hakuna cha maana zaidi ya michoro tena mapangoni. wale ni wanyama kabisa. Savage.

Tena historia ya Tanzania iligubikwa na uongo kwa mfano kuambiwa mtumwa anatobolewa kisigino na mwarabu kisha anawekwa mnyororo anatembea. Kutoka tabora mpaka tanga.

Nikaja kushangaa kumbe hata huo utawala wa zanzibar haukua wa waarabu.
Sielewi huu usanii unafanyika.wa nini.?
OK ila fuata ushauri niliokuambia hapo juu soma historia ya kale upate kuelewa tusiiharibu mada, endelea kuelemisha wasioamini uwepo wa mungu.
 
jitu linasema kabisa Mungu wa israeli, halafu bado anaendelea kushoboka, ushaambiwa Mungu wa wana wa israeli, sio Mungu wa wandengeleko acha kujipendekeza.
 
Dah....kuna baadhi ya mambo ukiyawaza huwez pata majibu..binadamu watajitahid kufafanua lakn hamna kitu..inafika sehemu wanakwama.....maswali magumu hayo sio ya kujibu kirahisirahisi.....Na pia Mleta mada amewaza sana na Ana haki ya kuuliza sababu Mungu si Dikteta au Athumani......
 
Dah....kuna baadhi ya mambo ukiyawaza huwez pata majibu..binadamu watajitahid kufafanua lakn hamna kitu..inafika sehemu wanakwama.....maswali magumu hayo sio ya kujibu kirahisirahisi.....Na pia Mleta mada amewaza sana na Ana haki ya kuuliza sababu Mungu si Dikteta au Athumani......
Mkuu una mawazo mapana sana...hongera kwa hilo, watu tunatakiwa tujue mambo yanayo tuhusu, sasa tutajuaje bila kuhoji na kuuliza??? ninacho kiona kuna watu wanamfananisha Mungu na madictator kama ulivyosema....sijui wanadhani Mungu ni Hitler???
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwani anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!

===================
Inakupasa utubu haraka hiyo ni kufuru. Mungu ni mkamilifu hana upungufu wowote. Yeye si mwanadamu.
 
Back
Top Bottom