ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,335
- 15,061
- Thread starter
- #61
Dah una akili balaa...ilikuwaje hukupewa wizara ya kuongoza??? you are too logical!!!Kuuliza si kumdhihaki mungu huyu kauliza jamani inatakiwa apewe jibu sasa km tunakuawa wakali wakati hata huyo yesu mafarisayo yalikua yanauliza. maswali kinafiki na aliyajibu.Wenye uelewa wa biblia wamjibu ili imani yake iimarike siyo kuponda tuu????