Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Mtoa uzi uko vizuri nimekukubali asee hayamaswali hata mim yananichanganya nakwapia hakuna muinjilist wala sheikh atakae weza kujibu kwel nmeamin hata huyu tumwaminie anamapungufu yake
 
Uvumilivu wa Mungu umevuka mipaka aisee yaani wewe mbwiga unamdhihaki YEHOVA kwa kiwango hiki? Kisa tu amekupa akili haujinyei? Amekupa afya hujui wodi ya wagonjwa wa kansa ikoje? Du hii sasa nizaidi yakufuru kwakweli!!!!
Mbona unaimba Ngonjera? Kwaiyo walio na kansa, wanaojinyea na walioko mahospitali ndio tuseme kuna mungu muweza au mungu dhaifu?
Wewe kijana unaabudu uoga!

Narudia tena kwamba hakuwezekani kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, muweza wa yote, muumbaji wa vyote.
Kama atakuwepo mungu wa hivo atakuwa sio mungu bali ni mshindwa wa mwisho.

Fikiri kijana acha kukalia akili zako

HAKUWEZEKANI KUWE NA MUNGU MSHENZI NAMNA HIYO.
Watu wanateseka hovyo, watu wanakufa, watu wanadhulumiana, watu wanaibiana, watu wanateseka na njaa hadi kufa alafu uje uniambie kuna mshenzi kajikalia eti ndio aliyeumba vyote na anaweza yote na ana upendo.
Huo utakuwa ni ulimbukeni wa Mungu
 
Ni vibaya kumuita mwenzio mbwa mfu.
Ajidhaniae amesimama aangalie asije akaanguka.
Siyo mimi ni Biblia. Mtu aliyekuwa anamshukuru Mungu kwa kumwona akamwuliza imekuwaje Mungu kumwona yeye aliye mbwa, tena mbwa mfu. Huwezi kujua haya kama una audacity ya kujiita tena. Majina huakisi tabia ya mtu.
 
Ujuaji huu wote ni kwa sababu mwenyezi Mungu kakupa uhai leo!!? Unafikiri wewe upo kwa sababu ya malengo yako? Visa vyote ulivyotaja vinaashiria ni jinsi gani Mungu alivyo mwenye upendo mwingi sana,
Mungu hachunguziki kama umebaini na kuamini juu ya hayo unayoita MAKOSA KUMI... je, kama hayupo hayo makosa uliyoyataja yatakuwa ya nani sasa badala yake? Je, unaamini kuwa wewe unauelewa mkubwa kuliko sababu(Mungu) iliyokufanya uwepo?

Ruhusu mawazo yako yamtambue na kumkiri mwenyezi Mungu, kwa maana wewe u mwanadam na siku zako zahesabika hapa duniani.
 
Ama kweli wewe ni wa kuombewa maana unamdhihaki MUNGU hata wewe je alifanya makosa kukuumba?!
 
Hata kama sijui, kuwa makini usije kumwongezea maneno ambayo hakuyatamka.
Sasa ukitafsiri Bible kihivyo si utaona Bible nzima imeandikwa na kichaa?

Em jaribu kupitia na hii.

Zab 139: 18 Kama mimi lazima kuhesabu [mawazo ya Mungu kwa ajili yangu], wao ni zaidi kuliko mchanga: wakati mimi macho, bado niko pamoja nawe.

Zab 78:27 Yeye mvua [ndege waweze kula] pia juu yao kama vumbi, na ndege feathered kama wengi kama mchanga wa bahari

Job 29:18 Ndipo nikasema, Nitakufa ndani ya kioto changu, Nami nitaziongeza siku zangu kama mchanga.

1Ki 4:20 Yuda na Israeli walikuwa wengi [chini ya utawala wa Sulemani], kama mchanga wa pwani kwa wingi, wakila na kunywa, na kufurahi.

1Ki 4:29 Mungu akampa Sulemani hekima na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ufuoni mwa bahari.

2Sa 17:11 Kwa hiyo shauri langu Israeli wote kuwa kwa ujumla wamekusanyika kwako, toka Dani mpaka Beer-sheba, kama mchanga wa bahari kwa wingi; nawe kwenda vitani katika mtu wako mwenyewe.

1Sa 13: 5 Nao Wafilisti wakakusanyika ili kupigana na Waisraeli, magari thelathini elfu, na wapanda farasi sita elfu, na watu kama mchanga ulio ufuoni mwa bahari kwa wingi, nao wakaja juu, wakapiga kambi yao katika Mikmashi, upande wa mashariki wa Bethaveni.

Amu 7:12 Wamidiani na Waamaleki na wana wa mashariki walikuwa wametua bondeni, mfano wa nzige kwa wingi; na ngamia zao walikuwa hawana hesabu; mfano wa mchanga wa ufuoni, kwa wingi.

Jos 11: 4 Nao wakatoka nje, wao na jeshi zao zote pamoja nao, watu wengi mno, kama mchanga ulio ufuoni mwa bahari kwa wingi, pamoja na farasi na magari mengi sana.

Deu 28:62 Nanyi mtasalia wachache kwa idadi, ninyi mliokuwa mfano wa nyota za mbinguni kwa wingi; kwa sababu kuwa hukuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako.
 
Mbona unaimba Ngonjera? Kwaiyo walio na kansa, wanaojinyea na walioko mahospitali ndio tuseme kuna mungu muweza au mungu dhaifu?
Wewe kijana unaabudu uoga!

Narudia tena kwamba hakuwezekani kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, muweza wa yote, muumbaji wa vyote.
Kama atakuwepo mungu wa hivo atakuwa sio mungu bali ni mshindwa wa mwisho.

Fikiri kijana acha kukalia akili zako

HAKUWEZEKANI KUWE NA MUNGU MSHENZI NAMNA HIYO.
Watu wanateseka hovyo, watu wanakufa, watu wanadhulumiana, watu wanaibiana, watu wanateseka na njaa hadi kufa alafu uje uniambie kuna mshenzi kajikalia eti ndio aliyeumba vyote na anaweza yote na ana upendo.
Huo utakuwa ni ulimbukeni wa Mungu
Baada ya uumbaji alijipa vacation, bado hajaimaliza???
 
I NEED ANSWERS TO MY QUESTIONS, NOT YOUR FALLACY PROPAGANDA!!!
Ooh yes!
Those fallacy propaganda(as yo mention them) they are neither mine nor yours. But i wonder why you cited them into your argumentations.
You should have not included them in the 10 questions you asking.
 
Kamwe mungu hakukosea,hajakosea na hatakosea,ila kila ulichoandika ni makusudio yake kwa watu wake.
 
Aisee umewaza kibinadamu zaidi na umemnung'unikia Mungu km walivyofanya waisrael jangwani nao wakafia hukohuko. Wewe hapo mbona hukusema upendo wa Mungu kwako? Unapumua bure, unaafya ya bure, jua na mvua huilipii , akili ya ajabu na hata inavyofanya kazi mpk leo haijulikani vizuri kwa wanasayansi, ila ulipewa wewe bure ili ikusaidie ktk dunia tuliyoiangusha wenyewe kwenye dhambi. Nk nk nk nk nk Je unataka Mungu akupe nini tena akutafunie afu we umeze tu?
 
Aisee umewaza kibinadamu zaidi na umemnung'unikia Mungu km walivyofanya waisrael jangwani nao wakafia hukohuko. Wewe hapo mbona hukusema upendo wa Mungu kwako? Unapumua bure, unaafya ya bure, jua na mvua huilipii , akili ya ajabu na hata inavyofanya kazi mpk leo haijulikani vizuri kwa wanasayansi, ila ulipewa wewe bure ili ikusaidie ktk dunia tuliyoiangusha wenyewe kwenye dhambi. Nk nk nk nk nk Je unataka Mungu akupe nini tena akutafunie afu we umeze tu?
Nataka anijibu hayo maswali.
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa.Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake??? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony???..Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure...God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he didi..sasa waovu wa leo wametoka wapi??? mbona aliuwa watu wengi bila huruma??? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini??? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao??? mbona Gadaffi aliweza???.Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi???...WE HAVE TO BE FAIR!!!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi??? je kuna muda wa kutosha??? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati???

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu??? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema??? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao??? au hakujua???

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko....Kwani anawauwa watu kikatili hivi???au haya nayo tumsingizie shetani???

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo??? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani???.Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina???

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu??? Kwani hajui kusamehe???Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani?. Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao??? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM...So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)??? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani??? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia??? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani???

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!!!
Niko sambamba na wewe mkuu
 
2 Timotheo 3:8-9
[8]Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.
[9]Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao ulivyokuwa dhahiri. Mausia ya Paulo kwa Timotheo
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa.Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake??? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony???..Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure...God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he didi..sasa waovu wa leo wametoka wapi??? mbona aliuwa watu wengi bila huruma??? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini??? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao??? mbona Gadaffi aliweza???.Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi???...WE HAVE TO BE FAIR!!!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi??? je kuna muda wa kutosha??? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati???

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu??? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema??? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao??? au hakujua???

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko....Kwani anawauwa watu kikatili hivi???au haya nayo tumsingizie shetani???

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo??? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani???.Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina???

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu??? Kwani hajui kusamehe???Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani?. Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao??? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM...So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)??? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani??? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia??? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani???

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!!!
BE STILL AND KNOW THAT I AM GOD -Psalm 46:10
 
Back
Top Bottom