Nimeona Thread inayojaribu kuonyesha makosa kumi ya Mungu ndo maaana nikachukua hatua Yakinifu kuandika haya..Kwanza Kabisa na Ifaamike Mungu anajua yote na Kazi Yake kamwe haina makosa,ebu Tuanze
(whats a Mistake)? a wrong way of doing something,misguided action,inaccuracy!!!!!!!!
=>Kusema Mungu ana makosa ni sawa na kusema hajakamilika(perfection) Kwaio hana tofauti na sisi Jambo ambalo ni kosa,Lucifer Alitenda Hivi Hivi
1.KUMUUMBA SHETANI
Mungu hakumuumba shetani alimuumba Lucifer ambae alingiwa na wivu due to the status quo of Jesus akataka awe Miongoni mwa utatu mtakatifu eventually ule wivu ukasababisha atende dhambi unayoifanya ya kumkosoa Mungu(Imperfection)
2.KUISHI MAFICHONI
Mungu Hajifichi,dhambi zetu ndo zinathfarakanisha na yeye maana hawezi kukaa na sisi hakika tutakufa awali kulingana na Biblia mbona alikua akihukutana na Adam wakaongea sema tatizo ni pale alipotenda dhambi,Israel walitaka kumuona ILA kabla hajafika walighairi wakasema hawataki tena
3.MAFURIKO
Aim ya mafuriko ni kupunguza maasi na Age generally,sio kuondoa dhambi kabisa maana watu wangeendelea na nyendo zao Mungu alisahaulika kabsa lakini kutokana na UPENDO wake akaamua kuchukua hatua hio baada ya warning ya miaka karibia 500 kweli hata kama wee ni kiazi miaka yote hii
elewi concept tu???
4.SAFARI YA WANA WA ISRAEL
Lord promised abraham kuwa atampa nchi specifically ya CANAAN sio popote tu that was the Point kutimiza ahadi sio Ilimradi nchi tu na nyakati zile struggle Ili kusurvive Ilkua ni suala la kawaida ndo maana hata Israel walipokua wanazingua walichezea mkong'oto tuuu!
5.AHADI YA ABRAHAM
Ivii unajua dunia ina miaka mingapi???mimi mwenyewe sina uhakika lakini uzao wa abraham compared to na Generation ya awali uliongezeka japo hukufikia nyota za angani maana israel walikua wagumu mioyoni kwa sababu Mungu sio dictator hakulazimisha
6.ALLERGY 7.MUTATIONS NA 8.NATURAL CALAMITIES
Hivi vyote ni side effects za dhambi duniani,mwanzoni maisha yalikua Bomba vitabu vingine mpka vinasema adam alipoona Kondoo anakuja na kutoka damu walipokua wanatengenezema mavazi alilia sana,hakuamini kilichotokea maana alikua hajawahi ona alafu Mungu alilaani ardhi na dunia Generally ndo maana haya yote yanatokea,vingine sisi ndio chanzo kutokana na vitu kma ukuaji wa sayansi ya technolojia
10.JEHANAMU
Lengo la Moto sio kukomesha watu na sio kwamba God enjoys this kuprove hapendi ndo maana akamtuma mwanae hata kama tulishakataa mara nyingi,moto una lengo la KUTOKOMEZA DHAMBI Ili dunia ibaki salama tukutane na Mungu kma Ilivyokua awali.Na ingeweza kuwa njia nyingine sio lazima moto lakini akachagua njia hii na kuchomwa sio lazima ni Option making it more Fairer sijui binadamu upewe nini uweze kuona Haya.