Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

kweli aliye andika biblia alikua ni kichaa au tuseme alikua ni msanii anaye hangaika kutafuta mali.
Mkuu kuuliza siyo mbaya...tunahitaji kujua vitu tunavyo vyikumbatia ili tujue namna ya kuishi navyo.Sasa wao wakiulizwa maswali wanatokwa na povu badala ya kutoa majibu.
 
wee mtoa mada labda nikuulize kwanza (1) unajishughulisha na nini?
(2) unapokuwa na huzuni moyoni mwako au unapokutana na hali usiyoitarajia kama kushindwa kwa kile ulichotegemea, huchukua uamuzi gani?

naomba unijibu haya ili niweze kujibu maswali yako kibusara zaidi ili unielewe
 
wee mtoa mada labda nikuulize kwanza (1) unajishughulisha na nini?
(2) unapokuwa na huzuni moyoni mwako au unapokutana na hali usiyoitarajia kama kushindwa kwa kile ulichotegemea, huchukua uamuzi gani?

naomba unijibu haya ili niweze kujibu maswali yako kibusara zaidi ili unielewe
Nafanya kazi halali inayonipatia kipato cha kuridhisha....Nikipatwa na gumu lolote huwa natuliza akili ili kutafuta majibu sahihi ya tatizo.
 
There is nothing worse than being an agent of Satan. Satan is using you to sin against God. The moment you leave the world, if you will not have repented, the very same Satan will torment you in hell. Watch out dude.
ANY FACT GOES WELL WITH AN EXAMPLE, DO YOU HAVE ANY???
 
Wanasema
Mungu anatupenda sana kwa moyo wote but km kweli anatupenda kwann kamleta shetan??

Wanasema pia mungu n powerful kuliko kitu chochote....ila pamoja na nguvu zake kashindwa mwondosha shetan na bado wanasema anaupendo

Vilivile wanasema ana huruma..hv kama ana huruma ,upendo na nguvu..katuletea shetan wanini??

Inatia wacwac kwakweli

Mm nasema kama mungu hapenzwi kwa jinsi navyo ishi yeye ndio aje kuniambia mm sio hawa waarabu na wazungu.na vitabu vyao vya kusadikika hata siwaelewi
Kwenye vitabu vya dini mungu kila kitu kaweka wazi shetani ni yupi na vitendo vyake ni vipi ukitaka kuamini binadamu ni kiumbe mmbishi ni hapa sigara imeandikwa kabisa inamadhara kwa afya ya mwanadamu na huyohuyo anavuta huku akijua kuwa amavuta kitu cha hatari hii imekaaje
 
Mnaoamini mtupe majibu.
Mkuu jaribu siku ukae makalio wazi alaf mtoto wako atie kidole chake kwenye nyeti zako za huko nyuma....hapo ndipo utapata jibu la kusamehe.Vitu vingine ni principle na utashi wa muumbaji ukichanganya usanii na werevu wa hali ya juu ya utegemezi kati ya uhai na umauti.Ni siri ambayo mimi na wewe mambumbu hatuifahamu kwa akili ndogo tuliyopewa na muumba mwenye nguvu.(mfano tone la mvua na maji ya bahari).Unachohoji ni matokeo ya ufahamu mdogo uliopewa bahati mbaya hautapata jibu sahihi kwa sababu hukumbwa ili upate majibu na siri zote(umeumbwa katika ombwe la mipaka ya uwezo maalumu).Umeumbwa katika mzingo wa akili iliyowekwa na tamaa ili uweze kuwianisha baina ya zuri na jema(Demokrasia mnayoyolilia?).Una hiyari kuchagua lakini ufahamu kila moja lina mustakabali wake matokeo yake ambayo umeshajuzwa.Hakuna kisingizio
 
vizuri. unapotuliza akili yako ili kupata uvumbuzi mara ghafla akatokea kiumbe cha ajabu na cha kutisha akakwambia anataka kukusaidia kwa kile unachowaza, Je, utakuwa tayari kuendelea kumsikiza ukiwa nae?
 
Mkuu kuuliza siyo mbaya...tunahitaji kujua vitu tunavyo vyikumbatia ili tujue namna ya kuishi navyo.Sasa wao wakiulizwa maswali wanatokwa na povu badala ya kutoa majibu.
ila hayo maswali uliyo uliza kweli ulijipanga na ulitulia kweli kweli.
na ninaona hawa walivuta bangi ya kujifanya wanamjua sana mungu wanakuja wanajikanyaga kanyaga wee lakini wapi.
na bado huu ni mwanzo tu na ninahisi miaka ya mbeleni ndio watakuja kukutana na wakati mgumu sana na akili zao zitakuja kuwakaa sawa tu na watajua kweli mungu hayupo.
 
vizuri. unapotuliza akili yako ili kupata uvumbuzi mara ghafla akatokea kiumbe cha ajabu na cha kutisha akakwambia anataka kukusaidia kwa kile unachowaza, Je, utakuwa tayari kuendelea kumsikiza ukiwa nae?
KIUMBE??? kwani kimewahi kumtokea nani???
 
Mkuu jaribu siku ukae makalio wazi alaf mtoto wako atie kidole chake kwenye nyeti zako za huko nyuma....hapo ndipo utapata jibu la kusamehe.
Lol uzembe wako wa kukaa uchi unataka kumwaadhibu mtoto??? BTW utamfanya nini??? na faida yake itakuwa nini???
 
Mkitindwa nivyo mnavyojifariji???...toeni majibu.
Kwanza mtoa uzi nae aulizwe je anaamini uwepo wa mungu,moto,pepo,shetani nk ili ajibiwe vizuri isije ikawa yeye haamini kisha ajibiwe kitu gani
 
Sijamdhihaki nimesema kweli. Kwani kuna uongo hapo??

Mkuu nimesoma na kucheka sana.Ni vizuri kukaa na kujiuliza namna hii.Kuna maswali hayana majibu hadi sasa.Wakatoliki kwa majiulizo ambayo tumekosa majibu tumeyaita "Fumbo la Imani". Kuhoji hoji namna hii sio dhambi.
Wakatoliki tunafundishwa kuwa sababu za Mungu kutuumba ni ili:
1.Tumjue
2.Tumpende
3.Tumtumikie
4.Kisha Tufike au tuwepo kwake Mbinguni

Ukitafakari hayo mambo manne utagundua kuwa mtu yeyote ili amjue Mungu lazima atajiuliza maswali kama yako kwenye huu uzi.Mimi niseme labda sio sahihi kuhitimisha kuwa Mungu alifanya Makosa kufanya yote kadri ya uzi wako ila labda ziko sababu mahususi tusizozijua bado.

Nihitimishe tu kwa kukushukuru sana kwa hojaji zako na uzidi kuutafuta ukweli.Ninakuona kama potential Philosopher of the future.
 
AHOJI miaka na miaka hewa oxygen ipo lakini haioni anahoji mungu kajificha
 
Back
Top Bottom