Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

About what?
I need nothing to prove God's right more than the Bible so maybe you.
Hope you 've got to know the function of eyebrows something you didn't, now accept defeat passively and take precaution never to enter mental battlefield with an empty mind, meanwhile expand your biological faculty!!!
 
Hope you 've got to know the function of eyebrows something you didn't, now accept defeat passively and take precaution never to enter mental battlefield with an empty mind, meanwhile expand your biological faculty!!!
Duh seems like this language challenges.
 
pamoja mkuu kiranga. ila swali ni je hivi wachawi wapo? hizi imani za kishirikina zipoje wakuu. maana kuna mama mmoja ni mganga wa jadi. nilikwenda kwake nikamwambia nataka kuacha pombe. kabla ya kunipa dawa akasema amenipima ameona nimerogwa na kuanza kueleza maisha yangu ya nyuma mfano mikoa niliyoishi, ndugu, matembezi nk. je alijuaje?? ingawa sikujali sana hayo mwisho alinipa dawa ya miti unachemsha unakunywa basi sijanywa tena pombe tangu siku ile nilishaacha.
kinisumbuacho ni je ni uchawi au uganga wa majini au Mungu??? ufafanuzi kama unaelimu hii bwana kiranga
Hakuna uchawi kwa maana ya supernatural forces.

Kuna njia nyingi sana za mtu kupata habari zako kabla hujaenda kwake halafu akakuambia zote ukamuona anatumia uchawi. Pengine unaweza kuwa unamwambia mwenyewe habari zako anazirudia tu kwako.

Mtu akikupa mitishamba unywe ili uache kunywa pombe kashaondoka kwenye uchawi kaingia kwenye chemistry na biology.
 
Mungu hakosei...umekosea kumkosoa. Jaribu kujisahihisha uelewe kuwa Mungu siyo mwanadamu na mawazo yake si ya kibinadamu. Mungu ni Mungu
 
utakua nacho cha kujibu mbele ya allah siku ya kiama ili ujue kama ulipost ili upate sifa lakini leo hii wewe mzima na umekamilika unasema mungu ana makosa je ungelikua kiwete au kipofu mungu kawa nyima wote kakupa wewe leo hii unakua wa kwanza wewe kusema hivi

leo hii wewe una nguvu hata kutembea kumbuka kuna watu wanapambana na malakul maut wanatolewa roho zao wewe una nini mpaka ukaishi kwa umli ulionao kuna watu wana ukoma hata simu kushika hawa wezi leo hii wewe upo nyuma ya keybord yako eti mungu kafanya makosa kumi!! subhanaallah!!

mungu kakupa akili kakupa ufahamu wewe kaacha kumpa akili ng'ombe kakupa wewe je angepewa mnyama akili unafikili ni kwa namna gani ange kufulu

"yaa rabhi unioni ninavyopata taabu yaa rabi binadamu wananichinja"
wanyama wangekufulu sana lakini mungu kampa akili mnyama kua vile anavyo chinjwa ndo ibada yake

sasa wewe mwenye uwezo wa kujua jema na baya tamu na chungu wasema mungu ana makosa

LAANA TULALLAH!!!
 
utakua nacho cha kujibu mbele ya allah siku ya kiama ili ujue kama ulipost ili upate sifa lakini leo hii wewe mzima na umekamilika unasema mungu ana makosa je ungelikua kiwete au kipofu mungu kawa nyima wote kakupa wewe leo hii unakua wa kwanza wewe kusema hivi

leo hii wewe una nguvu hata kutembea kumbuka kuna watu wanapambana na malakul maut wanatolewa roho zao wewe una nini mpaka ukaishi kwa umli ulionao kuna watu wana ukoma hata simu kushika hawa wezi leo hii wewe upo nyuma ya keybord yako eti mungu kafanya makosa kumi!! subhanaallah!!

mungu kakupa akili kakupa ufahamu wewe kaacha kumpa akili ng'ombe kakupa wewe je angepewa mnyama akili unafikili ni kwa namna gani ange kufulu

"yaa rabhi unioni ninavyopata taabu yaa rabi binadamu wananichinja"
wanyama wangekufulu sana lakini mungu kampa akili mnyama kua vile anavyo chinjwa ndo ibada yake

sasa wewe mwenye uwezo wa kujua jema na baya tamu na chungu wasema mungu ana makosa

LAANA TULALLAH!!!
Mkuu umeandika post nzur kabisa.. Ila kuliko kumlaani kijana kwa nini usimpe darsa la maswali aliouliza??
 
Mungu alimuumba akiwa malaika mzuri sana kuliko wote. Unapesema aliumba shetani Ni sawa na kusema Tanganyika ilipata uhuru 1961.
Hapo sawa kabisa.. Mimi binafsi ni muumin wa dini ya kikristo.
Moja ya vitu tunaamin ni kuwa Mungu ndo anajua kila kitu, mwanzo, ujao na mwisho... Sasa ndo napata wasi kwa nn alimuumba malaika shetani ilihali alijua kua atakuja msaliti.. Yan hapo natatizika sana..
 
Mungu anapompa mwanadamu kitu,humpa two options ili mwanadamu achague mwenyewe.Halazimishi wala haforce uamuzi wako.Alipomuumba Adam alimwonyesha mazuri yote na kisha akamwonyesha na mti wa ujuzi na mabaya.So it was Adams choice.
 
Shida zote zinazoukumba ukimwengu ni kwa sababu ya choices za mwanadamu.Yes aliangamiza ila ukicompare na alivyorehemu na kuokoa utaona mzani unaelemea sana wapi.
 
Ungetaka hayo yote, unge mwambia babu yako adam hasile lile tunda sasa hivi ,yani muda huu huu yani saahii saahii ungekuwa eden unakula bata,na huna ata wasiwasi kama bata anakunyakunya ovyo.
 
Hii discussion haifiki popote wala haitaisha. Nachoona mimi watu humu wamejitoa ufahamu! What happened to independent thinking? Mtoa mada ametoa dukuduku lake, kinachopaswa ni ku-argue nae kwa "fact" ,, sorry nilimaanisha "point". Dini msingi wake ni imani, na imani si lazima iwe na base founded on facts,, all you need to is believe,, even when beliving might mean hoping against hope. Hata mababu zetu walikuwa na Dini, swali la msingi ni je Hawa wazungu walitufanya nini? Kuna utofauti kati ya kujua na kufahamu, kama vile kulivyo na tofauti kati ya kufahamu na kuamini... None are more enslaved than they who hopelessly believe they are free.
Naamini katika nguvu ya independent thinking,, maana ndio chachu ya maendeleo.
 
...
...
...
...
10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)??? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani??? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia??? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani???
Kutafutia stimu wakati wa kufanya naniliu
 
Dini zililetwa Afrika kwa sababu maalumu ya kututawala na kunyonya mali zetu baada ya kufanikisha azma yao waliotuletea dini hata wao sasahiv hawazifuati izo dini,,wamebadili mbinu za kutunyonya sasahivi wamekuja na mbinu ya demokrasia na utawala bora..!! Dini ni ulevi mtu aliye lewa dini ni hatari kuliko mlevi aliyelewa mvinyo..!!
 
nimesoma nusu maana mpaka mwili unanisisimuka, watu hawana hofu na Mungu kabisa. nchi hii wanamuogopa tu
 
Back
Top Bottom