Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kama tuna mental sickness, huo ninushahidi zaidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mental sickness.
Swali kama hili nilikujibu jana. Kwamba Mola ameumba kila ugonjwa na dawa yake,tafuta dawa ya ugonjwa wa akili utaipata ujitibu,hakuna tatizo hapo.
 
Huwa nikisema Atheist wote na wale wanaojidai ma Atheist kama Kiranga na wenzake wana MENTAL SICKNESS ndio kama hivi wanavyofanya na kuandika.

Bado nipo... Naona jambo la masharti limemshinda anataka tujadili Falsafa.

Yaan unazidi kupotea maskini huelewi unachongea katika medicine topic ambayo niliyokuwa naipenda wakati nilivyokuwa chuo ni psychiatry and mental health mpaka leo psychotic disoder inanisaidia kuwatibu watu wenye mashetani waliorogwa wenye depression mpaka suicidal thought

Huko unapotaka kuenda usiende maana ukifika katika psychotic disoder katika shizophrenia utakuja kuona features zake zote zinawapata waumin wa dini
 
Hakuna aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo.
Najua kuwa lazima ulazimishe suala la uthibitisho kwa sababu nje ya hapo huna hoja ya kuelezea ni kwanini unapinga uwepo wa Mungu? Unakwepa kujadili sababu za watu kukubali uwepo wa Mungu ambao wewe unapinga ,matokeo yake unarukia kujadili masuala yenye kumuhusu Mungu.

Hata watu wa dini tofauti hubishana na kutofautiana masuala yenye kuhusu Mungu ila wote kwa pamoja wanakubali uwepo wa Mungu.

Kuna watu wanakubali uwepo wa Mungu hawaamini dini wala vitabu vya dini,wewe hawa huwezi kujadiliana nao kwa sababu hauwezi kuwabambikiza habari za contradictions ili upinge uwepo wa Mungu kama unavyowafanyia watu wa dini.

Ndiyo maana nakwambia wewe unapinga uwepo wa Mungu ila haujaeleza kwanini unapinga uwepo wa Mungu?
 
Najua kuwa lazima ulazimishe suala la uthibitisho kwa sababu nje ya hapo huna hoja ya kuelezea ni kwanini unapinga uwepo wa Mungu? Unakwepa kujadili sababu za watu kukubali uwepo wa Mungu ambao wewe unapinga ,matokeo yake unarukia kujadili masuala yenye kumuhusu Mungu.

Hata watu wa dini tofauti hubishana na kutofautiana masuala yenye kuhusu Mungu ila wote kwa pamoja wanakubali uwepo wa Mungu.

Kuna watu wanakubali uwepo wa Mungu hawaamini dini wala vitabu vya dini,wewe hawa huwezi kujadiliana nao kwa sababu hauwezi kuwabambikiza habari za contradictions ili upinge uwepo wa Mungu kama unavyowafanyia watu wa dini.

Ndiyo maana nakwambia wewe unapinga uwepo wa Mungu ila haujaeleza kwanini unapinga uwepo wa Mungu?
Nje ya uthibitisho, anything goes.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Eleza kwanini unapinga uwepo wa Mungu?

Unakwepa hili suala.
Nieleze mara ngapi?

Unajua kusoma?

Kwa kuanzia. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu, hayupo.

Hayupo kwa sababu, dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.

Contradiction inaonesha Mungu huyo hawezi kuwepo.

Dhana ina contradiction kwa sababu, upande mmoja Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, lakini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Contradiction hii inaonesha Mungu katungwa na watu tu katika hadithi. Hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Nieleze mara ngapi?

Unajua kusoma?

Kwa kuanzia. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu, hayupo.

Hayupo kwa sababu, dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.

Contradiction inaonesha Mungu huyo hawezi kuwepo.

Dhana ina contradiction kwa sababu, upande mmoja Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, lakini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Contradiction hii inaonesha Mungu katungwa na watu tu katika hadithi. Hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Hayo uliyoyaeleza sio yanayowafanya watu kukubali uwepo wa Mungu na ndiyo maana kuna watu hawaamini hayo ila wanakubali uwepo wa Mungu.

Eleza kwanini unapinga uwepo wa Mungu?
 
Hayo uliyoyaeleza sio yanayowafanya watu kukubali uwepo wa Mungu na ndiyo maana kuna watu hawaamini hayo ila wanakubali uwepo wa Mungu.

Eleza kwanini unapinga uwepo wa Mungu?

Yanayowafanya watu wakubali uwepo wa Mungu ni yapi?

Unaelewa maana ya "kwa kuanzia"?

Mantiki ya hayo niliyoyaeleza umeikubali?
 
Yaan unazidi kupotea maskini huelewi unachongea katika medicine topic ambayo niliyokuwa naipenda wakati nilivyokuwa chuo ni psychiatry and mental health mpaka leo psychotic disoder inanisaidia kuwatibu watu wenye mashetani waliorogwa wenye depression mpaka suicidal thought

Huko unapotaka kuenda usiende maana ukifika katika psychotic disoder katika shizophrenia utakuja kuona features zake zote zinawapata waumin wa dini
Naona ujajifaragua kijinga. Sasa hapo umejibu nini ? Naona muzabizabina tu,huku haupo kule haupo.

Nakuuliza huamini kwamba hakuna ugonjwa usio na dawa au ?

Maana hueleweki bro ! Wewe unajifaragua na usecular sisi tuliyafanya hayo tulivyokua wajinga.

Turudi kwenye mada.
 
Yanayowafanya watu wakubali uwepo wa Mungu ni yapi?

Unaelewa maana ya "kwa kuanzia"?

Mantiki ya hayo niliyoyaeleza umeikubali?
Utanielewa tu.

Unaposema dhana ya uwepo wa Mungu inajipinga je dhana ya uwepo wa Mungu ndiyo Mungu kuwa na upendo wote ,uwezo wote na ujuzi? Hiyo ndio dhana ya uwepo wa Mungu yenye kuwafanya watu waseme kuna Mungu?
 
Falsafa ilikuwepo kabla ya dini zetu zote dunia hii kuanza.Falsafa ni elimu iliyozaa masomo yote yaliyopo duniani
 
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.
Ninakubaliana nawe 100%. Ni sawa na sisi kabla ya kuwepo kwetu, hakukuwahi kuwa na chochote na wala kisingekaa kuwepo hadi tulipokuwepo. Mwanzo wa kila uwepo huanza simu ulipoanza kuwepo. Wewe ni Alpha na Omega. Na hivyo, wewe ndiye Mungu.
 
Ni kufuru kubwa kunena kuwa mungu amekosea na hii ni kwa dini zote
Mungu ndiye atakuwa anakosea. Kwa uwezo wrote alionao, wala asingeruhusu Kiranga kuandika yote haya! Unaweza kuona namna huyu Mungu alivyo mdhaifu na wala hakuna kitu kama hicho.
 
Yaan unazidi kupotea maskini huelewi unachongea katika medicine topic ambayo niliyokuwa naipenda wakati nilivyokuwa chuo ni psychiatry and mental health mpaka leo psychotic disoder inanisaidia kuwatibu watu wenye mashetani waliorogwa wenye depression mpaka suicidal thought

Huko unapotaka kuenda usiende maana ukifika katika psychotic disoder katika shizophrenia utakuja kuona features zake zote zinawapata waumin wa dini

Feudman psychoanalysis point of recognition...considers about Id,ego and superego..

Subconcious interpretation makes easy way to discover and differentiate Normality and Abnormality...

Ha ha ha ...


The best ilusion ever is to deny your subconcious recognition ability..

The best normality is to interprete the inner form of your subconcious awareness...

Only people who know about Freudman's theory of conciousness and subconcious perspection wataelewa hapa..


Ila tulio wengi tupo tu kubishana kutafuta like na comments..ha ha by the way nimefurahi pale uliposema wenye massive disorder na depression ni wale wanaoamini uwepo wa Mungu ..nakuunga mkono..anayekataaa hapa niunge nae ....

Tueleweshane vizuri ili kila mtu atoke na kitu...

ilimchukua Freudman kumuelewa mpaka miaka 40 kumuelewa huyu jamaa ila sasa hivi dunia ndo imetambua uwepo wake....

Screenshot_20180921-232513.jpg


Mi simooooooo..nitakupigia nitakupigiaaa 😀 😀[/ATTACH]
 

Attachments

  • Screenshot_20180921-232449.jpg
    Screenshot_20180921-232449.jpg
    19.4 KB · Views: 24
Falsafa ilikuwepo kabla ya dini zetu zote dunia hii kuanza.Falsafa ni elimu iliyozaa masomo yote yaliyopo duniani
Huijui falsafa. Niambie mitume gani walikuwa wanaijua falsafa,maana waliokua na elimu ni wao.

Falsafa wamekuja wayunani,huko kutokea kwa kina Homeri,Socrate,Plato,Anaksimanda,Anaksimenesi,Wakina Zeno wa Abdela,Demokritus na wengineo.

Falsafa imekuja baada ya watu kuacha mafundisho ya kiufunuo,yaani mafundisho ya mitume.

Uongo huu usije kuukariri tena.
 
Mungu ndiye atakuwa anakosea. Kwa uwezo wrote alionao, wala asingeruhusu Kiranga kuandika yote haya! Unaweza kuona namna huyu Mungu alivyo mdhaifu na wala hakuna kitu kama hicho.
Mola ametuumba kwa hiyari na uone ni jinsi gani huruma ya Mola kwa waja wake ni kamili,leo watu wanamtukana na kumdhihaki lakini anawapa rizki na mfano wake.

Huu wote ni kuthibtisha uwepo wake na ukamilifu wake katika sifa zake.

Kaka mwanadamu ni mwingi wa kusahau ndio maana akaitwa Insaani anakufuru neema za Mola wake. Allah aliyejuu ana mpa muda huenda ipo siku akamkumbuka.
 
Katika hayo makundi je, wewe upo wapi, kwa wenye akili au wajinga??😁😁

Yeye yupo katka kundi hili

"WA ALLAHU YAD-HU ILAA DARI AS-SALAM WA YAHDI MAN YASHAAU ILAA SWIRAATI MUSTAQIMA"[/QUOTE]



Wewe binafsi unaamini Allah yupo??
 
Back
Top Bottom