Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kiranga wanafalsafa wa mwanzo kina Aristotle na Socrates kabla ya ujio wa YESU hawakuwa na elimu za darasani kama zetu bali walikuwa wanaongozwa na HEKIMA na ndio maana Philosofia ikawa na maana filosofia ikaitwa philo-love na sophia-wisdom yaani love of wisdom.Tatizo sisi tunayosoma kwenye makaratasi yanatufanya tukengeuke akili.Mungu huyu ni mwenye huruma na msamehevu tunavyomdhihaki kila siku angekuwa anatulipa kama adhabu.Najaribu kuwaza wewe ukipata tatizo mfano msiba unamtaja nani.Ninachoamini mimi mungu yupo ila hana dini dini tumeleta sisi.Hata hivyo una haki ya kufanya reasonings na kutoa logical conclusions.Waliokwenda mwezini wa mwanzo kina Armstrong pamoja na kwenda anga za juu walirudi bado wakaamini uwepo wa mungu

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kiumbe aliyeumbwa mjinga bro,jitafakari upya.

Naona mnazidi kupoteana na kuuliza maswali ya kitoto.
Mkuu zurri

Mimi naamini mungu yupo

Ila binadamu waliozaliwa wajinga wapo , waliosoma medicine schools wote wanatambua hili

Naamini mungu yupo , tusitumie hoja rahisi kuwapinga hawa jamaa

Ni kama tunamdhalilisha mungu wetu

Ila mm nafikiria kitu kimoja wazungu waliotuletea hizi propaganda za dini

Leo ndo wanasambaza tena propaganda za kwamba mungu hayupo

Nawafikiria sana hawa wapumbavu

My mind is free and will always be free

Naamini mungu yupo ila sio huyu wa kushikiwa na wazungu
 
Kiranga wanafalsafa wa mwanzo kina Aristotle na Socrates kabla ya ujio wa YESU hawakuwa na elimu za darasani kama zetu bali walikuwa wanaongozwa na HEKIMA na ndio maana Philosofia ikawa na maana filosofia ikaitwa philo-love na sophia-wisdom yaani love of wisdom.Tatizo sisi tunayosoma kwenye makaratasi yanatufanya tukengeuke akili.Mungu huyu ni mwenye huruma na msamehevu tunavyomdhihaki kila siku angekuwa anatulipa kama adhabu.Najaribu kuwaza wewe ukipata tatizo mfano msiba unamtaja nani.Ninachoamini mimi mungu yupo ila hana dini dini tumeleta sisi.Hata hivyo una haki ya kufanya reasonings na kutoa logical conclusions.Waliokwenda mwezini wa mwanzo kina Armstrong pamoja na kwenda anga za juu walirudi bado wakaamini uwepo wa mungu

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Upo sahh ...

Sio huyu mungu wa kizungu au wa kiarabu au wa kibuddha
 
Mkuu zurri

Mimi naamini mungu yupo

Ila binadamu waliozaliwa wajinga wapo , waliosoma medicine schools wote wanatambua hili

Naamini mungu yupo , tusitumie hoja rahisi kuwapinga hawa jamaa

Ni kama tunamdhalilisha mungu wetu

Ila mm nafikiria kitu kimoja wazungu waliotuletea hizi propaganda za dini

Leo ndo wanasambaza tena propaganda za kwamba mungu hayupo

Nawafikiria sana hawa wapumbavu

My mind is free and will always be free

Naamini mungu yupo ila sio huyu wa kushikiwa na wazungu



Mkuu Baba Swalehe.

Hata mimi nakuunga mkono unaposema kuwa Mungu yupo, lakini unaposema kwamba kuna watu wanaozaliwa wakiwa wajinga hapo sikuelewi hata kidogo,je waweza kufafanua hapo ??!!.

🍒Elimu ni bahari🍒
 
Mkuu zurri

Mimi naamini mungu yupo

Ila binadamu waliozaliwa wajinga wapo , waliosoma medicine schools wote wanatambua hili

Naamini mungu yupo , tusitumie hoja rahisi kuwapinga hawa jamaa

Ni kama tunamdhalilisha mungu wetu

Ila mm nafikiria kitu kimoja wazungu waliotuletea hizi propaganda za dini

Leo ndo wanasambaza tena propaganda za kwamba mungu hayupo

Nawafikiria sana hawa wapumbavu

My mind is free and will always be free

Naamini mungu yupo ila sio huyu wa kushikiwa na wazungu
Kufikiri kwa mtindo huo ni kufikiri kitoto. Sasa hapa nakuuliza swali kama wewe una muamini Mola yupo,ni Mola gani huyo unae muamini wewe,je ana sifa gani ?

Na umejuaje kama Mola yupo ?

Ama kuhusu suala la mtu kuzaliwa mjinga hili jambo bro.

Kwa sisi watu wa na imani zetu jambo hili halipo. Suala la ujinga na ubazazi linakuja baadae. Mathalani kwa imani yangu mimi nina amini ya kuwa binadamu yoyote anazaliwa akiwa muislamu,ila wazazi wake ndio wata mfanya awe majusi,au awe mnaswara na mfano wake.

Suala la ujinga ni matokeo na wala kamwe si chanzo.
 
Upo sahh ...

Sio huyu mungu wa kizungu au wa kiarabu au wa kibuddha
Sasa wewe Mola unae msema wewe ni yupi. Maana kumjua Mola kunataka elimu.

Sasa hapa tuwe wa kweli wa kauli na wakweli wa vitendo tuseme tu kiholela holela.

Nakuuliza tena wewe Mola unayemjua wewe ni yupi nje ya huyu anayeelezwa na Wazungu na Waarabu kama unavyo dai ?
 
Kufikiri kwa mtindo huo ni kufikiri kitoto. Sasa hapa nakuuliza swali kama wewe una muamini Mola yupo,ni Mola gani huyo unae muamini wewe,je ana sifa gani ?

Na umejuaje kama Mola yupo ?

Ama kuhusu suala la mtu kuzaliwa mjinga hili jambo bro.

Kwa sisi watu wa na imani zetu jambo hili halipo. Suala la ujinga na ubazazi linakuja baadae. Mathalani kwa imani yangu mimi nina amini ya kuwa binadamu yoyote anazaliwa akiwa muislamu,ila wazazi wake ndio wata mfanya awe majusi,au awe mnaswara na mfano wake.

Suala la ujinga ni matokeo na wala kamwe si chanzo.
sawa nafikiri kitoto

Sijakukosoa sehem yeyote

Unaweza kuendelea

Inaonekana unajua sana mambo ya mungu

Siwez kuendelea kubishana na wewe

Wengine sio vipaji no matter how much we know

Usijibu tu

Coz siwez kukujibu
 
sawa nafikiri kitoto

Sijakukosoa sehem yeyote

Unaweza kuendelea

Inaonekana unajua sana mambo ya mungu

Siwez kuendelea kubishana na wewe

Wengine sio vipaji no matter how much we know

Usijibu tu

Coz siwez kukujibu
Bro hapa sibishani ndio maana nimekuuliza swali vile inavyotakiwa.

Ama kuhusu kauli yangu dhidi yako ya "Kufikiri kitoto" hili sio tusi mpaka ufikie mahala unituhumu kama ninabishana.

Ukiambiwa haki ikubali haki,ukweli ni kwamba swali nililo kuuliza huwezi kulijibu sababu hakuna binadamu anae weza kumuelezea Mola muumba nje ya dini iliyo sahihi,yaani hakuna binadamu anae weza kumuelezea Mola kinyume na yeye Mola mwenyewe alivyojielezea au alivyo elezewa na Mtume wake.

Kwahiyo tukiwa tunaandika maneno pia muwe mnaweza kuyapa nguvu na kuyatetea.

Hapa mimi na wewe tumemalizana,yaani katika hili tumemalizana.
 
Yeye yupo katka kundi hili

"WA ALLAHU YAD-HU ILAA DARI AS-SALAM WA YAHDI MAN YASHAAU ILAA SWIRAATI MUSTAQIMA"



Wewe binafsi unaamini Allah yupo??[/QUOTE]
Thibitisha Mungu yupo.
 
Thibitisha Mungu yupo.


Na wewe thibitisha kama gari aina ya Toyota zimeundwa!!😁😁😁[/QUOTE]

Swali lako ni la kijinga kwa namna nyingi sana.

1."Gari aina ya Toyota zimeundwa" ?.

2.Sijawahi kusema gari za Toyota zimeundwa. Unaniambia nithibitishe kitu ambacho sijawahi kusema kipo.

3.Nikiweza au nisipoweza kuthibitisha gari za Toyota zimeundwa, hilo halithibitishi Mungu yupo.

4. Umemlinganisha Mungu wako na gari la Toyota

5. Hujathibitisha Mungu yupo, thibitisha Mungu yupo.
 
NA KOSA LINGINE KAKOSEA KUKUUMBA WEWE MTOA MADA KAMA BINADAMU ANGEKUUMBA NYOKA SIO BINADAMU PILI KAKUCHELEWESHA SANA KUKUPA MARADHI UONDOKE ILI UMUULIZE HUKO ALICHO KOSEA
 
Na wewe thibitisha kama gari aina ya Toyota zimeundwa!!😁😁😁

Swali lako ni la kijinga kwa namna nyingi sana.

1."Gari aina ya Toyota zimeundwa" ?.

2.Sijawahi kusema gari za Toyota zimeundwa. Unaniambia nithibitishe kitu ambacho sijawahi kusema kipo.

3.Nikiweza au nisipoweza kuthibitisha gari za Toyota zimeundwa, hilo halithibitishi Mungu yupo.

4. Umemlinganisha Mungu wako na gari la Toyota

5. Hujathibitisha Mungu yupo, thibitisha Mungu yupo.[/QUOTE]





Tahadhari:- usitukane kwa sababu ushahidi unainyesha upo mahiri sana katika kutukana kwa sababu ilisomea falsafa ya matusi in the US.

Kwanza unayo tuhuma ya kudanganya umma wa jf, kwamba ulizawadiwa A+ na prof, wako wa falsafa nje ya chumba cha mtihani ulipokuwa unasoma huko The US, ulizawadiwa hiyo credit kwa sababu tu ulimthibitishia huyo prof, kwamba Mungu hayupo na akakuambia kuwa fikra zako ziko juu ya upeo wao na hivyo ukakonga moyo wa huyo prof, na akakuambia usifanye mtihani"

👆🏻Mimi sipendi sana kurejea hilo jambo lakini jambo hilo ulilinathibisha na hoja yako ya kumkana Mungu pale nilipokuuliza kuhusu uthabiti wa hiyo imani yako, kwa maana hiyo napenda watu waone ni kwa namna gani unavyoweza kutumia hila hata za uongo ili kutetea hoja yako!!, na akili ya kawaida tu inasema huwezi kutetea jambo la ukweli katika njia ya uongo, ukweli ni ukweli tu na siku zote unatetewa na ukweli na ni rahisi kutetea ukweli na watu wenye AKILI ni rahisi kujua ukweli na uongo.

Hivyo basi huu ni wasaa wako wa kujisafisha kwanza kutokana na UONGO uliouzua ili upate "cheap popularity" na kudanganya umma kwamba Mungu hayupo wakati kiburi na jeuri uliyonayo ni matumizi mabaya ya vipawa alivyokupa huyo huyo Mungu unayemkana.

Maumbile ya mtu na jinsi mwili wake unavyofanya kazi ni ishara tosha kuwa ipo nafsi "super intelligent" iliyofanya kazi ya kumuumba huyo mtu (through processes) lakini ni wenye deep understanding (wanaoshughulisha akili zao) tu watakaoweza kufahamu lakini sio wale wenye akili za sisimizi wasioweza kuelewa "culculus".😁😁

Nilitoa mfano wa Gari za Toyota nikidhani ninayemuuliza swali atajua Gari za Toyota ni kitu gani kumbe muulizwaji kaona "rigmarole", sasa kama hawezi kujibu swali dogo kama hilo je, mambo yanayohusu Mungu ataweza??!!. Si ataishia kumkana tu!!

Wewe kiri tu uwezo wako wa kumjua Mungu ni finyu ndiyo maana unajaribu kutumia njia hata za UONGO kupotosha ukweli kuhusu kuwepo kwa Mungu, na kukiri udhaifu juu ya jambo si udhaifu bali kujidai huna udhaifu wakati wewe ni dhaifu ndiyo udhaifu pia ujinga bali upumbavu.

Tuambie hiyo A+uliipata vipi ili wenye akili alizotujalia Mungu turidhike ila wale wenye akili finyu watakukubalia na kukupongeza.
 
Feudman psychoanalysis point of recognition...considers about Id,ego and superego..

Subconcious interpretation makes easy way to discover and differentiate Normality and Abnormality...

Ha ha ha ...


The best ilusion ever is to deny your subconcious recognition ability..

The best normality is to interprete the inner form of your subconcious awareness...

Only people who know about Freudman's theory of conciousness and subconcious perspection wataelewa hapa..


Ila tulio wengi tupo tu kubishana kutafuta like na comments..ha ha by the way nimefurahi pale uliposema wenye massive disorder na depression ni wale wanaoamini uwepo wa Mungu ..nakuunga mkono..anayekataaa hapa niunge nae ....

Tueleweshane vizuri ili kila mtu atoke na kitu...

ilimchukua Freudman kumuelewa mpaka miaka 40 kumuelewa huyu jamaa ila sasa hivi dunia ndo imetambua uwepo wake....

View attachment 873776

Mi simooooooo..nitakupigia nitakupigiaaa 😀 😀[/ATTACH]


Kwa uchambuzi wako inabidi nikupe salute sina cha kuongeza nikiongeza nitaharibu wewe ni noma kama jeshini ni Brigedia
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    3.9 KB · Views: 19
Yeye yupo katka kundi hili

"WA ALLAHU YAD-HU ILAA DARI AS-SALAM WA YAHDI MAN YASHAAU ILAA SWIRAATI MUSTAQIMA"



Wewe binafsi unaamini Allah yupo??[/QUOTE]

Hayupo huyo allah kamleta muhammad maana inaonekana allah kapata nguvu baada ya kuzaliwa muhammad 570C.E
 
Bro wewe niambie tu,akili yangu iko salama haijawahi kuukataa ukweli hata kwa bahati.

Leta vitu bro nifaidike.

Labda nukuulize unajua kama mpaka sasa hakuna anaejua muda?
Ngoja nikuthibitishie hilo leo siku gani na tarehe ngapi?
 
Back
Top Bottom