Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hawezi kuwa shekhe sababu sisi kwetu falsafa ni haramu.
Falsafa ni haramu kwa sababu inahoji uongo wa kuwepo Mungu.

Na hata wewe hapa mjadala huu kwenu ni haramu pia, kwa sababu una falsafa za kuhoji uwepo wa Mungu.

Mnatakiwa muamini bila kuhoji kwa falsafa, ili msifunguke macho.
 
Sasa nayajadili masharti, ili niyaelewe vizuri, nijue ninapoyakubali nakubali nini, na ninapokataa, ninakataa nini, unaniita mjinga?

Mimi kutaka kuyaelewa masharti kabla ya kuyakubali au kuyakataa ni ujinga?

Unategemea niyakubali au kuyakata masharti ambayo siyaelewi?

Huo ndio ujanja?

Hapa kati yangu mimi na wewe nani mjinga?
Bro ukosoaji uko hivi,ukiona jambo lina kosa liweke sawa kisha leta lile lililo bora zaidi.

Nakusikiliza....!
 
Unamlaumu asiyekuwepo? Anyways, Mtume Paulo aliyuhasa kutokuwa na mabishano ya kipumbavu hususan juu ya mambo ya kiroho, "mabishano". Kila lakheri.
Wwapi nimemlaumu asiyekuwepo?

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo, unatumia gia ya Mtume Paulo kujiondoa.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Falsafa ni haramu kwa sababu inahoji uongo wa kuwepo Mungu.

Na hata wewe hapa mjadala huu kwenu ni haramu pia, kwa sababu una falsafa za kuhoji uwepo wa Mungu.

Mnatakiwa muamini bila kuhoji kwa falsafa, ili msifunguke macho.
Huwezi kuhoji kifalsafa ukasalimika. Tunaipinga falsafa sababu ya udhaifu wake wala hatuioingi falsafa kinyume na hapo.

Falsafa imewaharibu watu na kuwafanya wajinga.

Hii au saala la kuijadili falsafa tuiwekee mada yake pweke.

Turudi katika mada husika au tunalotaka kulifikia kwa sasa,nalo ni kuhusu haya masharti.
 
Huwezi kuhoji kifalsafa ukasalimika. Tunaipinga falsafa sababu ya udhaifu wake wala hatuioingi falsafa kinyume na hapo.

Falsafa imewaharibu watu na kuwafanya wajinga.

Hii au saala la kuijadili falsafa tuiwekee mada yake pweke.

Turudi katika mada husika au tunalotaka kulifikia kwa sasa,nalo ni kuhusu haya masharti.
Unajua ukishasema unaipinga falsafa, tayari ushatumia falsafa?
 
Bro naona unazidi kudhihirisha ujinga wako na udhaifu wako wa kushindwa kutofautisha mambo.

Nasubiri jibu la swali langu.

Mwenzako Kiranga alikiri wazi kabisa ya kuwa swali limemshinda hili.

Muulize mmbwa muda ni nini kama atakujibu. Msipende kupotezea watu muda kwa kauli za kitoto kama hizi.


Kuwepo kwa ujinga na udhaifu duniani kunazidi kuonyesha kama mungu hayupo

Mungu mwenye busara na hekima kwanini aumbe watu wengine awaumbe wajinga na wengine wenye uelewa
 
Au mfano mwingine kuhusu kifo,hivi kuna maana nyingine ya kifo zaidi ya roho kutengana na mwili ?

Mnataka tuwaeleweshe vipi kuhusu suala la muda ili muweze kujibu ?

Mfano wa muda ni kama vile kifo,kadhalika maji.

Sasa ukibabatiza maneno naona wewe hauko kielimu bali kupotezeana muda tu.

Huwezi kufananisha muda na kifo yaan unazidi kupotea

Muda unaweza kuupima SI unit yake ni sec wakati kifo huwezi kukipima hakina SI unit unatoa mifano ambayo inaonekani huelewi shreia za physics
 
Ndiyo maana nilikuuliza swali la msingi kuwa hao wanaozaliwa wazima ni yapi waliyoyafanya hadi wakastahiri kuzaliwa wazima hadi uone kuwa hao wengine labda wanamakosa ndiyo maana wakaumbwa na matatizo?

Ngoja tumuulize mwenyewe

"INNAMAA AMRUHU IDHAA ARADA AYI YAQUL LAHUU KUN FAYAKUN"

mimi nakuonyeshea huyo mungu wako kama yupo basi hana fair ila kwakuwa hayupo kichanga chochote kikizaliwa na tatizo tuta dx mpaka tutajua chanzo
 
Unajua ukishasema unaipinga falsafa, tayari ushatumia falsafa?
Sijatumia falsafa sababu falsafa ni tamko jibya limekuja limekuta binadamu wamesha anza kuhoji na kuupata ukweli miaka na mikaka iloyopita.
 
Hoja hupingwa kwa hoja, thibitisha kutokuwepo kwake kwa kuwa pasi na shaka umekili kwamba nimedhihirisha ya kwamba MUNGU yupo.

Kisichokuwepo hakithibitiki huwezi kukithibitisha kwakuwa hakipo wewe unaesema kipo ndio unatakiwa ukithibitishe kama kipo ili ionekane maneno yako yana ukweli
 
Sijatumia falsafa sababu falsafa ni tamko jibya limekuja limekuta binadamu wamesha anza kuhoji na kuupata ukweli miaka na mikaka iloyopita.
Falsafa ni nini? Unaweza kuyataja matawi yake?
 
Kuwepo kwa ujinga na udhaifu duniani kunazidi kuonyesha kama mungu hayupo

Mungu mwenye busara na hekima kwanini aumbe watu wengine awaumbe wajinga na wengine wenye uelewa
Hakuna kiumbe aliyeumbwa mjinga bro,jitafakari upya.

Naona mnazidi kupoteana na kuuliza maswali ya kitoto.
 
Falsafa ni nini? Unaweza kuyataja matawi yake?
Huu ndio utoto nisioutaka,kule niliweka masharti ili kuzuia ujinga wa kuhamisha mada.

Tufanye kitu kimoja,tumalize mada moja kwanza kisha tuanzishe mada mpya,ni rahisi sana.

Twende kazi bro.
 
Huwa nikisema Atheist wote na wale wanaojidai ma Atheist kama Kiranga na wenzake wana MENTAL SICKNESS ndio kama hivi wanavyofanya na kuandika.

Bado nipo... Naona jambo la masharti limemshinda anataka tujadili Falsafa.
 
Huu ndio utoto nisioutaka,kule niliweka masharti ili kuzuia ujinga wa kuhamisha mada.

Tufanye kitu kimoja,tumalize mada moja kwanza kisha tuanzishe mada mpya,ni rahisi sana.

Twende kazi bro.
Moja ya masharti uliyoweka ni kunibu maswali.

Wewe mwenyewe huwezi kutimiza masharti yako mwenyewe.

Unaongelea falsafa. Ukibanwa uelezee falsafa ni nini tujue kama unajua unachozungumzia, unaruka.

Hutaki kujibu maswali.

Unavunja masharti yako mwenyewe!
 
Huwa nikisema Atheist wote na wale wanaojidai ma Atheist kama Kiranga na wenzake wana MENTAL SICKNESS ndio kama hivi wanavyofanya na kuandika.

Bado nipo... Naona jambo la masharti limemshinda anataka tujadili Falsafa.
Kama tuna mental sickness, huo ninushahidi zaidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mental sickness.
 
Moja ya masharti uliyoweka ni kunibu maswali.

Wewe mwenyewe huwezi kutimiza masharti yako mwenyewe.

Unaongelea falsafa. Ukibanwa uelezee falsafa ni nini tujue kama unajua unachozungumzia, unaruka.

Hutaki kujibu maswali.

Unavunja masharti yako mwenyewe!
Ila bro sikufichi mimi nitakushikisha adabu. Uwe unatunza kumbukumbu bro. Hapa nakukumbusha sababu nataka nikusaidie. Suala la falsafa nilikuwa namzindua mdau mmoja baada ya kujifaragua kwake juu ya falsafa.

Kipindi namjibu yule bro,huku mimi na wewe tulikuwa tunajadali saula la asharti kwa maana tufikie muafaka ili tuanze mjadala,sasa kurupu nakuona wewe unadakia jambo na kutaka nikujibu jambo ambalo limezuka na si la msingi.

Ndio maana nikasema tukitaka kulijadili suala la Falsafa tuweke mada pweke ili tusiharibu utaratibu tunaotaka kuundea.

Sasa hapa tupo kwenye masharti tumalize hili,tujadili lile kisha tuweke mada kuhusu falsafa nikupe kile kilichp bora.

Uko tayari ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom