Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Soma post za nyuma kidogo tu utaona kati ya mimi na huyo jamaa wako ni nani mwenye mchezo wa kukimbia.
Hata sasa nimekuuliza kama umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo, umelikimbia swali.

Mtu hahitaji kwenda nyuma kuona umekimbia swali.
 
Hajajibu. Kakataa kutoa uthibitisho.

Nikikwambia nioneshe njia ya kutoka Shule ya Uhuru kwenda Ilala, ukaniambia nisiende Ilala niende Kinondoni, hujanionesha njia ya kutoka Shule ya Uhuru kwenda Ilala.

Usitake kulazimisha mtu aliyeshindwa kunijibu awe kanijibu.

Imani unaruhusiwa kuamini hata mavi yako Mungu.

Ukiamini mavi yako Mungu yanakuwa Mungu?
Kama unajua imani ndiyo ipo hivyo,iweje tena umekuruka huko na kutaka uthibitisho kwa kitu kama hicho? Haoni kwamba wewe ndio mwenye tatizo?
 
Kama unajua imani ndiyo ipo hivyo,iweje tena umekuruka huko na kutaka uthibitisho kwa kitu kama hicho? Haoni kwamba wewe ndio mwenye tatizo?
Kwa sababu imani unaweza kuamini chochote.

Unaweza kuamini hata mavi yako Mungu.

Hakuna shurti la kuthibitisha.

Imani sinlazimaniwe ukweli.

Ukweli unapatikana kwa uthibitisho.

Sasa Mungubwakobwa imanibtu ni sawa na mtu anayeamini mavi ni Mungubwake.

Huna tofauti na mtu anayeamini mavi ni Mungu.

Ukitaka kujitofautusha, thibitisha Mungu wako yupo.
 
Hajajibu. Kakataa kutoa uthibitisho.

Nikikwambia nioneshe njia ya kutoka Shule ya Uhuru kwenda Ilala, ukaniambia nisiende Ilala niende Kinondoni, hujanionesha njia ya kutoka Shule ya Uhuru kwenda Ilala.

Usitake kulazimisha mtu aliyeshindwa kunijibu awe kanijibu.

Imani unaruhusiwa kuamini hata mavi yako Mungu.

Ukiamini mavi yako Mungu yanakuwa Mungu?
Ni imani ...! Jibu ni jepesi lakini unalazimisha liwe gumu

Ndio maana unaonekana unataka kuoneshwa Mungu!
 
Ingekuwa tunaamini Mungu kwa uthibitisho basi isingewezekana watu kama nyie kuacha misimamo yenu na kukubali uwepo wa Mungu.
Muamini hata mavi unaweza kuamini ni Mungu.

Ukweli haupatikani kwa kuamini.

Unapafikana kwa kuthibitisha.

Unaelewa hilo?
 
Ni imani ...! Jibu ni jepesi lakini unalazimisha liwe gumu

Ndio maana unaonekana unataka kuoneshwa Mungu!
Imani si lazima iwe ukweli.

Ukweli unapatikana kwa uthibitisho.

Unaelewa hilo?
 
Akiachwa bado haitasaidia kupata majibu ya maswali yake haya 10.Muhimu kutafuta majibu ya haya maswali kwanza.Kama wewe unamwamini na unamjua jibu basi hata baadhi au yote.Sasa nyie binadamu ndio mnamlinda Mungu badala ya kuacha Mungu awalinde nyie.Jibu hoja mkuu sio kumlinda Mungu hata kama ni hoja nzima basi wewe unakataza asihojiwe kwa kusema ni dhihaka.
Napiga Dua ugeuke uwe nguruwe
 
Kwa sababu imani unaweza kuamini chochote.

Unaweza kuamini hata mavi yako Mungu.

Hakuna shurti la kuthibitisha.

Imani sinlazimaniwe ukweli.

Ukweli unapatikana kwa uthibitisho.

Sasa Mungubwakobwa imanibtu ni sawa na mtu anayeamini mavi ni Mungubwake.

Huna tofauti na mtu anayeamini mavi ni Mungu.

Ukitaka kujitofautusha, thibitisha Mungu wako yupo.
Kama wewe unaona anayeamini mavi ni mungu ni sawa na anayeamini Mungu ambaye ndiye muumbaji,basi wewe utakuwa na tatizo kubwa na ndiyo maana umeshindwa kuona hata signs za kuwepo Mungu.
 
Kama wewe unaona unayeamini mavi ni mungu ni sawa na anayeamini Mungu ambaye ndiye muumbaji,basi wewe utakuwa na tatizo kubwa na ndiyo maana umeshindwa kuona hata signs za kuwepo Mungu.
Kama wewe hujaweza kuthibitisha Mungu wako yupo na anayeamini mavi yake ni Mungu naye hajaweza kuthibitisha mavi yake ni Mungu, wote mmeshindwa kuthibitisha mnachosema ni Mungu ni Mungu kweli.

Sasa katika hilo mna tofauti gani?
 
Back
Top Bottom