Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,919
- 3,646
Kuna mwanafunzi anategemea kutoka Mwanza kwenda Ifakara naulizia kama kuna basi la moja kwa moja. Na nauli ni shilingi ngapi?
Vilevile kutoka Morogoro hadi Ifakara ni shilingi ngapi?
Vilevile kutoka Morogoro hadi Ifakara ni shilingi ngapi?