Makapuku Forum

Makapuku Forum

d62a32c3c8959405d6d0131146da6e69.jpg
Mie nilijua"experience is the best teacher" and experience makes perfect kumbe bureeee!
 
Tatizo tupo nyuma kimaendeleo hata magazeti/vyombo vya habari gavijisgughilishi kututangaza mambo yenye kuvutia(Huyu nilishawahi kumsoma) ila hapa tunaongelea mume na mke mmojamonogous family) au wanawake waliozalishwa na wanaume tofauti
.
Source Ni vyombo vya habari vya wazungu hivyo Ni lazima wajipendelee
Ni km segment ya Dikteta inavyokuwa wengi tunatamani historia za kikwetu lakini hazipatikani mtandaoni tunaishia kuwaongelea wazungu tu ila siyo kwa kupenda
........
Naomba kujiunga makapuku forum
 
Shedede unaniangusha. Kama editor wako ulipaswa kunitonya kuwa sehemu ya pili iko tayari.

Cha kusikitisha zaidi ni kwamba bado unarudia makosa yale yale ambayo nilikuandikia kwa kina katika sehemu ya kwanza na kukuomba sana kuwa usiyarudie tena. Miami7i Beech ni nini? Sikulizungumzia suala hili? Vipi kuhusu common nouns pamoja na titles kuwa ni lazima zianze kwa herufi kubwa? Vipi kuhusu kuepuka misentesi mirefu yenye korogesheni na kuzingatia alama za uandishi. Tazama kwa mfano sentensi ya mwisho ambayo kimsingi ni aya nzima

"Ndani ya miaka kumi paradise nevada ilikuwa ndo nchi pekee yenye mabavu ya dunia nzima kifupi ilikuwa ikitawala kwakila kitu miongo ikaenda mpaka sasa ndo nchi pekee yenye kupewa kipaumbele zaidi ndani ya bara la America kwaiyo majeshi au wazamizi wakipanga kuiangamiza dunia lazima waanze na taifa kubwa kama America"

Ni nini hichi ️? Aya yenye sentensi moja? nevada?

Kaa utulie. Andika kwa kituo. May be kwa vile ni makapuku basi hujali sana. Ungekuwa unaipeleka kule kwingine ungeipeleka ikiwa na makosa haya ya wazi? Hakuna kitu kinachopoteza credibility ya mwandishi kama makosa ambayo hata mtoto wa darasa la tatu anayakwepa. Maadam umeamua kuandika basi please kuwa siriazi.

Nategemea kuona mabadiliko makubwa huko mbele ya safari. Ni afadhali hadithi zichelewe lakini zitoke zikiwa zimekamilika. Blessings!
Asante editor komaa mpaka mwandishi wetu awe kwenye mstari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom