Makapuku Forum

Makapuku Forum

2827c3e8ed8992ea886827b3a7d323e2.jpg
7e6dbe9b9535df8ec4f235a0a3abd808.jpg
Alitawala kwa miaka mitatu pekee kwani alifariki dunia Oct 1920 akiwa na umri wa miaka 27 tu
......
Hii nayo ni rekodi ya aina yake.
 
1967 - Upande wa Mashariki wa Nigeria wajitangaza kama Jamhuri ya Biafra.

Hiyo ni chanzo kwa kuzuka Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe iliyojulikana kama vita ya Biafra.
2d6d8c99f8d52667f7d089cc39a74f59.jpg
459c1c2fb41003d4ac1e16e89366f50c.jpg
9fdb8894e3ff2ff1af4b29a0a72ee0d9.jpg
947bd6c3430aa4b7deaa14e0402cb963.jpg
Waafrika linapokuja suala la madaraka hatuwezi kuafikiana kwa njia za amani mfano ingeweza kuitishwa kura ya maoni lakini zisingeheshimika wajanja wangeiba kura tu
Hata Sudan sio kwamba wamekubaliana kiroho safi bali waneshinikizwa tu na Jumuiya za Kimataifa
.
Ingekuwepo demokrasia basi hata Wazenji wangeshaachana na Muungano muda mrefu tu
......
 
Kampuni za vifaa vya michezo zinashindana sana kwenye ubunifu wa bidhaa zao
Hakuna kitu kipya
Wanaboresha mambo ya zamani tu
Hata Adidas tangu waingie Man Utd hawajabuni kipya zaidi ya kuboresha zile zile za zamani walizowahi kutengeneza kabla ya kuja kwa Umbro na Nike
Yaani wanarudia tu jezi zao za zamani
......
 
2012 - Rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor anahukumiwa kifungo cha miaka 50 kwa makosa yake aliyofanya wakati wa Vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sierra Leone.
490562b4bf765a12847c38ae543c983c.jpg
28bf7e8ce17d1d8ec60a4690caf52124.jpg
Ila akina Bush(Sr & Jr) hawajawahi kufungwa jela japo siku 3 tu pamoja na kuua watu wengi wakati wa utawala wao
ICC ipo kwaajili ya Waafrika tu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom