BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
MITHALI 18
Asante mama mchungaji kwa kuyapitiaAsante mkuu Shululu kwa magazeti na mkuu SHIMBA YA BUYENZE kwa udhamini Siku njema kwenu.
Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
AmenMITHALI 18
10. Jina la BWANA ni ngome imara,Mwenye haki huikimbilia,akawa salama.
Asante BABA kutuamsha salama tena tunakimbilia jina lako maana ni ngome imara ili tuwe salama.
AMEN
SIKU NJEMA![]()
Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
Asantee mkuuView attachment 516376Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa SHIMBA YA BUYENZE
Nawatakieni Jumanne njema
Pamoja mkuuAsantee mkuu
Mama mchuchu asante kwa chakula cha uzima
Ahsante sana mama mchungajiZABURI 23
1.Bwana ndiye nchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.
Asante Baba kwa ulinzi wako tulinde tena usiku huu na Kutuamsha salama.Neema yako yatoshaAmen.
USIKU MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()

![]()
Kila jambo na wakati wake
MHUBIRI 3
1.Kwakila jambo kuna majira yake,Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.
2.Wakati wa kuzaliwa,na wakati wa kufa,wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa yaliyopandwa.
3.Wakati wa kuua ,na wakati wa kupoza Wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga.
4.Wakati wakulia na wakati wa kucheka,wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza.
5.Wakati wa kutupa mawe nawakati wa kukusanya mawe,Wakati wa kukumbatia na wakati wa kutokumbatia.
6.Wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,Wakati wa kuweka na wakati wa kutupa.
7.Wakati wa kurarua na wakati wa kushona;Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena.
8.Wakati wa kupenda na wakati wa kukuchukia;Wakati wa vita na wakati wa amani
9.Je!Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?
Hakika hiyo ndiyo kanuni ya maisha mkuu,tukiijua na kuifuata ,hatutapata shida.
Kila jambo na wakati wake na majira yake.

Hayuko siriazi bado. Ngoja nimtafute mkewe. May be they are having marital problems...
Mhubiri. Kitabu kimojawapo kizito sana katika Biblia. Mfalme Suleman mpaka anatisha aisee. Nadhani alikiandika uzeeni mwishoni mwa maisha yake. Baada ya kuwa Bill Gates wa dunia ya wakati ule, kuoa wanawake 700 na masuria 300; pamoja na kuponda raha za kila aina katika Mhubiri anahitimisha kuwa bila kumcha Bwana na kuzishika njia zake, yote haya ni UBATILI mtupu na kujilisha upepo. Hakukosea!

Hapo sawa
Pandiculating karibu kila siku nafanya
Hii sio ya Dodoma
Roger thatWakuu tuwe na siku njema ...
But remember ...
....![]()