Aisee. Madaktari wazee kuanzia sasa mwiko!..
Wasomi wengine mna tatizo hili. Mtu anataka kuanzisha biashara basi business plan, mara sijui nadharia gani ya kiuchumi inasema hivi ali mradi ni analysis after analysis. Mkinga Shedede yeye akiamua ameamua na kesho na keshokutwa unamkuta kafikisha maduka saba msomi huku bado anafanya uchambuzi wa kibiashara...
Kumekucha salama kabisaWakuu kumekucha salama ...jambo la kumshukuru Mungu na siku njema uanza mapema kama kawaida yetu makapuku kugufurika ndo kawaida yetu hilo halina shaka ....
UF soon tuipitie
Asante nawe pia mtoto wa MaoWakuu tuwe na siku njema ...
But remember ...
....![]()
Umenena vyema mkuuWasomi wengine mna tatizo hili. Mtu anataka kuanzisha biashara basi business plan, mara sijui nadharia gani ya kiuchumi inasema hivi ali mradi ni analysis after analysis. Mkinga Shedede yeye akiamua ameamua na kesho na keshokutwa unamkuta kafikisha maduka saba msomi huku bado anafanya uchambuzi wa kibiashara...