Makapuku Forum

Makapuku Forum

408095b5d5d0d04af31250ba34e10617.jpg
 
Wasomi wengine mna tatizo hili. Mtu anataka kuanzisha biashara basi business plan, mara sijui nadharia gani ya kiuchumi inasema hivi ali mradi ni analysis after analysis. Mkinga Shedede yeye akiamua ameamua na kesho na keshokutwa unamkuta kafikisha maduka saba msomi huku bado anafanya uchambuzi wa kibiashara...
 
Wasomi wengine mna tatizo hili. Mtu anataka kuanzisha biashara basi business plan, mara sijui nadharia gani ya kiuchumi inasema hivi ali mradi ni analysis after analysis. Mkinga Shedede yeye akiamua ameamua na kesho na keshokutwa unamkuta kafikisha maduka saba msomi huku bado anafanya uchambuzi wa kibiashara...
Umenena vyema mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom