Makapuku Forum

Awamu hii, kama vile zilizotangulia, nayo itapita na maisha yataendelea. By the way, mkuu mwenyewe alishasema kuwa watu wafyatue tu kwa sababu watoto watasoma bure
Kila jambo na wakati wake

MHUBIRI 3

1.Kwakila jambo kuna majira yake,Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

2.Wakati wa kuzaliwa,na wakati wa kufa,wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa yaliyopandwa.

3.Wakati wa kuua ,na wakati wa kupoza Wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga.

4.Wakati wakulia na wakati wa kucheka,wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza.

5.Wakati wa kutupa mawe nawakati wa kukusanya mawe,Wakati wa kukumbatia na wakati wa kutokumbatia.

6.Wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,Wakati wa kuweka na wakati wa kutupa.

7.Wakati wa kurarua na wakati wa kushona;Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena.

8.Wakati wa kupenda na wakati wa kukuchukia;Wakati wa vita na wakati wa amani

9.Je!Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?

Hakika hiyo ndiyo kanuni ya maisha mkuu,tukiijua na kuifuata ,hatutapata shida.

Kila jambo na wakati wake na majira yake.
 
Asante sana One ubarikiwe wimbo mzuri sana


Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
Asante

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana na majukumu

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
Mhubiri. Kitabu kimojawapo kizito sana katika Biblia. Mfalme Suleman mpaka anatisha aisee. Nadhani alikiandika uzeeni mwishoni mwa maisha yake. Baada ya kuwa Bill Gates wa dunia ya wakati ule, kuoa wanawake 700 na masuria 300; pamoja na kuponda raha za kila aina katika Mhubiri anahitimisha kuwa bila kumcha Bwana na kuzishika njia zake, yote haya ni UBATILI mtupu na kujilisha upepo. Hakukosea!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…