Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Njombe Mavande,ila Ipogolo hapo kuna familia yangu
Poa poaNiaje wakuu
Rafiki kipenz Vp tena.... Nimekwambia nilihama tigo zamani sana Sana Sana kabla ya hio ofa.Baada ya kujazwa ulionaa mambo huyaweziii![]()
![]()
hao ndo wana tigo hawana dogo dadeeekiii...
Ila tuma kwqnza rambirambiii
AiseeUtakuwa hujapata rafiki wa kuaminiana nae
Humu tupo tunaoaminiana na urafiki wetu upo hadi nje ya JF tukiwasiliana na hata kuonana
Ni kwa wale tu wanaoheshimu privacy za watu ....tukutana humu JF wala hatuwi na mbwembwe za kuonesha kwamba tunafahamiana wala nini
Kuna wengine ukiwapa tu # ya simu au kukutana nao ni kosa
Kila mkikutana thread yoyote hadi watu watajua mna ukaribu na atakuja kusema hadi kibanda cha mkaa unachojifichia na ishu zako kibao
![]()
![]()
![]()
.......
Hi ni segment poa sana , na uliitendea vema. Anyway atakuja mdau Kapuku kuanzia pale ulipoishiaWakuu..
Naleta ombi kwenu..
Nilikuwa nataka nimpe mtu jukumu la NUKUU YA LEO.
Nilichukua hii segment from April, lakini nahisi nashindwa kuifanyia kazi ..nashindwa kudeliver hiki kitu kwa members hapa kutokana na Ratiba zangu kubadilika kidogo na ndio sababu haka kuingia humu nasua sua kidogo..
Ile segment ni nzuri sana, sikupenda tuikose kwa kweli..
So natoa nafasi kwa member ambaye anaweza kunisaidia aendelee nayo...siku akiwa yuko tight maybe i can take over for sometimes again..
Ni wazo tuu lakini .
Mbona unajitetea sana kipenz rafikiiii???Rafiki kipenz Vp tena.... Nimekwambia nilihama tigo zamani sana Sana Sana kabla ya hio ofa.
Mbona unacheka mkuu au na wewe full kujazwa mkuu na tigo ??
Mbona unajitetea sana kipenz rafikiiii???
Vipi kwani kujazwa kama umependaa mwenyewe kujazwa kuna ubaya gani ??
Bhinamu tunakoseana hekima sasa ..ebu futa neno kujazwa bhasiii ntakununuliaa pipi kijitiiiMjomba kwani wewe ulijazwa kwa kuwa unapenda!?
Huko nimeshakusahau kitamboMbona unacheka mkuu au na wewe full kujazwa mkuu na tigo ??
PouwaIbaki vile vile tu
Hahaaa! Mnachanganya hapi sasa..
Ama tufanye kubadilishana..
Nimechukue Tumosa ili we T wa T
Na Shululu amchukue Sakayo ili iwe S wa S
Yaaani
T wa T na T wa T
S wa S na S wa S![]()

Madam hayuko pouwa sana! Ana hali ya homa kidogo.Nashukuru Mungu naendelea vyema kabisa
Umemficha wapi madam?
Bhinamu tunakoseana hekima sasa ..ebu futa neno kujazwa bhasiii ntakununuliaa pipi kijitiii