BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ni kweli sikujua kabisaInawezekana taarifa haikumfikia mwenyewe alikuwa busy kuuguza mjukuu na binti
Ni kweli sikujua kabisaInawezekana taarifa haikumfikia mwenyewe alikuwa busy kuuguza mjukuu na binti
Mambo ni vipi lakini?Ok ok
Kwemaaa mkuuMambo ni vipi lakini?
Na isitoshe walikuwa wakopaji wazuriDay ngumu sana. Duka halina wanunuzi. Sales zimepungua sana. Impact ya vyeti inaonekana.
Pamoja sanaTOP TEN
Juzijuzi kuna mwanamke alizua gumzo barani Afrika kutokana na kuwa na watoto 38 wakati ana umri wa miaka 37 tu yaani anafyatua fastafasta kuwazidi hata panya!!
.
Sasa leo tuwaone wengine wenye watoto wengi hapa tunazungumzia zaidi wanawake au ndoa za mume na mke mmoja ila kuna usemi Mama pekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto
Km kawa wazungu maana waafrika hatuna utamaduni wa kutunza kumbukumbu wala kujitangaza kwenye mitandao hivyo inawezekana huko Musoma wapo wengi tu
Karibuni
......
Niko pouwa kabisa...Njema T wa Sakayo za uzima ubarikiwe
Niko pouwa kaka..Niko poaaa
Namshukuru Mungu wanaendelea vizuri sasa.Wagonjwa wanaendeleaje mama mchungaji
HakikaMama Tumaini lilobarikiwa naona swaum ilikuzidia.
Sawa mkuu zitafika make kesho hope ntakuwa nae msibani kumaliza matangaNiko pouwa kaka..
Tufikishie salam zetu za kwa Shunie aisee..!
Mpe pole mkuu
Sakayo wa T na shululu wa TNyagei uwe unatofautisha mkuu..
T stands for Transcend only..
Tumosa wa shululu muiteni Hivyo hivyo tuu..![]()
Njombe Mavande,ila Ipogolo hapo kuna familia yanguSehemu gani Blessed! Kihesa, Johns corner, kidugala, kalenga?
Me cgomban na mke mweee SakayoHahaaaaa!
Unataka kesi na sakayo wewe![]()
nakuachia T yko me Tumosa wa Shululu

Hahaaa! Mnachanganya hapi sasa..Sakayo wa T na shululu wa T
Over



Soma comment yangu juu hapo..Me cgomban na mke mweee Sakayo![]()
nakuachia T yko me Tumosa wa Shululu
![]()
![]()
Wagonjwa wanaendleaje mamaNi kweli sikujua kabisa
Ahsante sana shem waneNko poa pole na majukumu
Pamoja komrediAsante kwa historia mkuu