Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Inaendelea vyema mkuu, vipi kwa upande wako?Mkinga huyo utamuweza basi? Asante kwa sahihisho mkuu. Jumapili inaendeleaje?
Inaendelea vyema mkuu, vipi kwa upande wako?Mkinga huyo utamuweza basi? Asante kwa sahihisho mkuu. Jumapili inaendeleaje?
Wacha bana wap huko huku jiji la bashite ni mvua toka asubuh mpak sasaHapa nilipo leo jua linapiga kwa kwenda mbele
AmenAsante Mtumishi. Usichoke kutuombea .
Mkuuu nakula mara moja mojaaHicho chakula nakulaga sana captain, ila weekend napenda vitu lainii lainii kama hivo, wewe sio mlaj nin wa huo msoc
Kila historia inayotumwa humu ni ya tarehe na mwezi wa siku husika.Ahsante mkuu, ila ni vizuri uwe unatuwekea na tarehe kabisa, mfano leo tarehe 28/1/2017 ili ieleweke hata baada ya tarehe ya leo kupita!
Asante, Nami pia namsalimia sana shemela wangu na mpe pole sanaShunie wako anakusalimia
Duuuuuh za kariakoo unaambiwa waterproof ila mvua ikukute tandale kama hujatafuta nailoni uifiche
Ni jioni ya leoMkinga, asante kwa kazi nzuri ila ukiendelea hivi nitaacha kazi kama wewe ulivyoacha kazi yako ya ulinzi. Kuna mambo kadhaa hukuzingatia.
Nilisema kuwa jina la hadithi lote ni lazima lianze na herufi kubwa yaani The Little Magic Angel. Sijui kwa nini umempuuza editor wako.
Pia proper names zote ni lazima zianze na herufi kubwa mf. Shimba ya Buyenze. Bado unafanya kosa hili. Halafu unakosea jina langu mimi mhariri wako. Kweli?
Kuwa siriazi bana kama mimi msaidizi wako nilivyo siriazi vinginevyo tutaparaganyika. Sehemu ya pili lini? Editor niko tayari!
Ni wako maken umeshindaa janaAsante, Nami pia namsalimia sana shemela wangu na mpe pole sana
Aisee bas. Uko vizur magonjwa yatakuwa yanapita kushoto kwako ila kwa hapa mjin hiyo msoc adimu captainMkuuu nakula mara moja mojaa
Ila nagonga sana vyakula dizain kama dona ..magimbi ..local viazi nk
Hongera sana bitoz 100 likes
Ndio mambo yoteKula dona mkuu
Kama yapi hayo mauza uzaNakumbuka kule Mbeya kipindi soko la Mwanjelwa linaungua kulikuwa na mauza uza kibao 90% ya wafanyabiashara walikuwa ni Wakinga
Wala sikujua km tayari
Ni mpangilio tuAisee bas. Uko vizur magonjwa yatakuwa yanapita kushoto kwako ila kwa hapa mjin hiyo msoc adimu captain
Sema usizoee kamanda ...machips hachanaa nayoAisee bas. Uko vizur magonjwa yatakuwa yanapita kushoto kwako ila kwa hapa mjin hiyo msoc adimu captain
Ongera madengeWala sikujua km tayari
Nafikiri Jimena naye akiwepo online atafikisha data
Yaani hilo gap tulilowekwa siku likizibwa na wakongwe sijui ...watakuwa wamenuna sana
Shukrani wadau
80% nimezipata humuhumu Ukapukuni
.........

Wapo watu wengi tu ambao hupata mafanikio uzeeni
Pamoja mkuuWala sikujua km tayari
Nafikiri Jimena naye akiwepo online atafikisha data
Yaani hilo gap tulilowekwa siku likizibwa na wakongwe sijui ...watakuwa wamenuna sana
Shukrani wadau
80% nimezipata humuhumu Ukapukuni
.........