Makapuku Forum

Makapuku Forum

Majukumu kama kawaida ...chief Mungu anasaidiaa
Vizur karibu chakula captain
12277498_493432100839567_337941699_n.jpeg
 
Mkinga, asante kwa kazi nzuri ila ukiendelea hivi nitaacha kazi kama wewe ulivyoacha kazi yako ya ulinzi. Kuna mambo kadhaa hukuzingatia.

Nilisema kuwa jina la hadithi lote ni lazima lianze na herufi kubwa yaani The Little Magic Angel. Sijui kwa nini umempuuza editor wako.

Pia proper names zote ni lazima zianze na herufi kubwa mf. Shimba ya Buyenze. Bado unafanya kosa hili. Halafu unakosea jina langu mimi mhariri wako. Kweli?

Kuwa siriazi bana kama mimi msaidizi wako nilivyo siriazi vinginevyo tutaparaganyika. Sehemu ya pili lini? Editor niko tayari!
Mkuu SHIMBA kumbe ulimwambia?hukuedit?nilidhani ndio mpangilio ulivyo,hakika akifuata maelekezo itakaa vizuri zaidi,tunashukuru imeeleweka na naamini atafanyia kazi mapungufu.

HONGERA SANA

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom