Ndiyo maana viwanda vyenyewe vipo kwenye makaratasi na mifomoni tuNi kweli. Madalali ndiyo wananufaika zaidi. Kilimo, kwa maoni yangu, ndiyo mkakati mama utakaoikomboa nchi hii na kuitoa hapo ilipokwama. Hata Wachina walipoweza kuleta mabadiliko ya kilimo ndiyo milango mingine ikafunguka. Sisi tunataka kurukia viwanda. Sijui viwanda bila malighafi za kuaminika itakuwaje. Inatakiwa unaleta mapinduzi ya kilimo kwanza unakuwa na umma unaoshiba na kuzalisha malighafi unazozitaka kwa ajili ya viwanda vyako. Kwa hali hii unainua maisha ya wakulima kwa kuwapatia soko la kuaminika la mazao yao na wakati huo huo unalisha viwanda vyako. Sisi nadhani tunakwenda kinyume nyume....
Ukiwa na mbuzi wanne wanaoporomosha kinyesi rundo tayari una kiwanda cha mbolea by Mwijage
Hii kweli mkuu maana mkulima anapata maumivu mfanya biashara ananemekaSiyo kwamba hakilipi
Kinanufaisha wafanyabiashara wakubwa na walanguzi wa mazao
Mfano wanaenda vijijini huko Kyela wanasomba cocoa au mpunga kwa bei chee kisha wanaenda kuviuzia viwanda kwa bei ya juu na hata kusafirisha nje ya nchi
Mkulima wa kijijini anabaki tu kuneemesha wafanyabiashara wakubwa
. ......
Juma pili iko vizur shemeji wewe hapo kibaha vipNzuri kabisa shemeji, jumapili inasemaje
KwemaaKwem humu? Jaman
Njema dada za hukoSalama hbr ya jumapili
Jumapili inaendaje chiefKwemaa
Dada ulimkafu abhisukulu bhakwendelela bulebuleHahahahaha