Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Barca waendelee kuzionea timu km ArsayNO kuwanyanganya wachezaji
Man Utd pesa ya kulipa mishahara mizuri ipo kilichopungua siku hizi ni kushiriki UCL league tu(sasa tumerudi na tutajirekebisha) km ni makombe hata enzi za SAF kuna kipindi tulikuwa tunaambulia Community Shield pekee
Herrera keshasema haondoki sasa sijui mbwembwe za nini
.......
