Makapuku Forum

Makapuku Forum

bb3e50552300d763a37ec160f48bd5a8.jpg
 
3338c8762b19a8bb9503a9169445ea68.jpg

Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana

Muwe na Jioni Njema
.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom