Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mh shemela kuna siku niliona Lee anasifia kuhusu kubetKubet hapana kabisa, huo ni ugonjwa mbaya sana
Mh shemela kuna siku niliona Lee anasifia kuhusu kubetKubet hapana kabisa, huo ni ugonjwa mbaya sana
Kwani shemela upo maraWamekuwa gharama kweli hao huku Mara sijui ninyi huko iko vipi
..!!!Kubet ni aina flani ya starehe ambayo kukosa ni kawaida na kupata ni bahati nasibu.Kubet hapana kabisa, huo ni ugonjwa mbaya sana
Dhbi ni dhambi tu hata kusema uwongoI see,ila ni dhambi kujiua/kuua/kutoa uhai....Mungu mwenyewe alimjua na atajua namna ya kumuhukumu
Hongera mkuu, kwa kasi hii nadhani umepata nafuu au kupona kabisa
Dunia ina mambo- Leo ni siku yaKimataifa ya kutunza Kobe duniani.

Mimi ni mzimaHongera mkuu, kwa kasi hii nadhani umepata nafuu au kupona kabisa
Pamoja mkuuMimi ni mzima
Ninachoumwa hakinizuii kula,kunywa,kulala wala kuchat
Hivyo nipo OK ndo sababu sikusema hadi juzi wakati ni mwezi mmoja sasa
.........