Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mola yuko upande wako mkuu

Aisee pole sana

Pole sana bitoz

Mungu akujalie upone haraka

Pole sana Mkuu Bitoz,Mungu akupe uponyaji haraka,Mungu akutie nguvu upo hospitali au nyumbani?polee

Pole sana Bitoz

Pole sana
Upone haraka ili uendelee na shughuli zako kama kawaida
Pamoja sana wadau
Ni kipindi kigumu ila nitavuka tu
Shukrani kwa kunifariji
.........
 
84252685b018607625f8b20f76d692ae.jpg

Habari zenu Makapuku family
Napenda kukupeni taarifa za kusikitisha tarehe kama ya Leo ndio siku nilipo poteza Mpenzi wangu wa maisha hasa baada ya kuamua kubadili aina ya maisha kwa kutaka vitu vya bei juu huku Mimi nikiwa sina Mishe
Hakika maisha ni safari
ulifikiri alikufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom