shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sana aiseeNi kasi ya 5G
Sana aiseeNi kasi ya 5G
Aisee pole sanaJana hali ilikuwa tete
Bahati nzuri my sister ni daktari bingwa ndo anayenitibu hivyo jana kanichoma sindano ambayo imesaidia kunituliza
Hivyo leo najisikia OK kama siku zote ninazokuwepo hapa japo naumwa ila ni kawaida tu
Changamoto ya maisha
............
Shemejiiii!!!!Haaaaahaaaa
Nipo shemejiKaka yako Mndali hajaonekana siku ya tatu leo
AtakujaKaka yako Mndali hajaonekana siku ya tatu leo
Yuko na werasonMama mchuchu!
Uko na Obe ama na werrason?
I am getting confused!
Mwagona dada utwa mashikuCR7 ASANTE KWA UDHAMINI WA MAGAZETI
Upo mkuuMakapuku wenzangu nimewamis sana
Habari zenu
Karibu sanaNahisi sio kweli huoni hataki kunijibu direct...
Ila muanche..nikienda Dsm kigamboni sio mbali...
Nipo mkuu habari za huko kwenuUpo mkuu
Ankali za asubuhiOoh yes
Very soon
1987 - Arturo Vidal anazaliwa.
Kiungo wa kati wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Chile.
Mola yuko upande wako mkuuMsiwe na presha huu ni mwezi sasa
Nikiwa na ulazima/kitu muhimu nitawaupdate
Kuwa pamoja nanyi hapa pananipunguzia upweke
Mungu awabariki wote
...........
Nzuri kabisa, habari za huko ankali?Ankali za asubuhi
Haya mkuuYuko na werason
Habari yako kiongoziNzuri kabisa, habari za huko ankali?