Makapuku Forum

Makapuku Forum

1990 - Yemen ya Kusini na Yemen ya kaskazini zaungana na kuwa Yemen.
0cb2ed03610eef1f5dda5fa1c232ff33.jpg
2f7f88e21110c7758f9dc0eece5f1df9.jpg
9887f29280b8318c0c9e8cfce42492f8.jpg

Sisi tuna muungano wa kitapeli uliojaa manubguniko
......
 
1946 - George Best anazaliwa.

Mchezaji mashuhuri wa zamani wa Man Utd.
0460b89114f8ecdcd16da04457bbe70b.jpg
ea5419bb9babe813dc80260fc7d6932c.jpg
69e54997691357683200f5ee1d93cb1a.jpg
0bab4449d37ab9c320a7e3f50fc611f7.jpg
1c2471226d4e6506770917f9132f0d95.jpg

Ni raia wa Ireland au Wales
Mungu alimjalia kipaji kikubwa cha kusakata soka lakini nje ya uwanja hakuwa na nidhamu

Alikuwa ni mpenda wanawake kiasi cha kutembea badi na Miss World yaani Dwight Yorke hamfiki hata nusu(watoto walimfuata wenyewe)
Pia alikuwa chapombe aliyetukuka matokeo yake akaishi kwenye umaskini uliotopea(huko Ulaya kila mtu kubeba msalaba wake hakuna mbeleko km za kina Chid Benz km hutaki kusaidiwa wana kuacha ufe na ujinga wako)

Pombe ndiyo iliyomuua
R.I.P George Dickie Best
.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom