Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1927 - Karibu na eneo la Xining huko China kunatokea tetemeko na kuua takribani watu 200,000 katika moja kati ya matetemeko makubwa kuwahi kutokea Duniani.
edacac4de3b37c5dd8f60a1a594ab10d.jpg
ba4bcb640fcdba0d4243b3f6cf3e1726.jpg
aac90694843f76093e82a4aabc043e34.jpg

Ni balaa
........
 
Aisee pole sana Mungu azidi kukuponya

Aisee pole sana Mkuu, unaendeleaje?
Jana hali ilikuwa tete
Bahati nzuri my sister ni daktari bingwa ndo anayenitibu hivyo jana kanichoma sindano ambayo imesaidia kunituliza
Hivyo leo najisikia OK kama siku zote ninazokuwepo hapa japo naumwa ila ni kawaida tu
Changamoto ya maisha
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom