Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi binamu umemuona mama mchuchu tu ndio wa kumsalimia sisi wengine hatuna umuhimu kwako


.... aunty yangu nawe, huna dogo, wewe huwa nakuamkia nikija kula sasa BH ndo hivyo tena nisipomsalimia kabla hajaleta flowers kwa mkongo ndo simuoni tena.

Uko poa lakini aunty yangu mrembo

werrason unapenda maua eeh mdau?
 
BlessedHope na shululu asanteni kwa sala ya kupendana na kutiana moyo asubuhi, asante kwa magazeti.

Makapuku wenzangu tuwe na wiki njema, tuwe na afya njema wiki yote na furaha huku kile tunachofanya kifanikiwe na tukumbuke kusema asante kwa kila anayeiwezesha siku iwe njema. ima ni shoeshiner, ama housegirl/boy, kondakta au mpigadebe au chizi anayekufahamu, daktari au mwalimu, polisi au hakimu, muuza maziwa au mchoma mahindi. Ilmradi tu tuseme asante na kutabasamu.

BH hujambo
Hakika Obe,Namshukuru Mungu me mzima Obe Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom