Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Shem Shunie eti masingi ndio manini?
Shem Shunie eti masingi ndio manini?
Nimecheka kwenye neno kibongeza miaka nzuri kibonge mimi unaendeleaje lakini
Mondray niajeZa asubuhi....
Bomba kaka..Mondray niaje
Mtoto wa Wenger, za weweMie sijambooo
ChaplinUnaendeleaje lakini?
Asante ChaplinYou again 192k
Pamoja sana mkuu musoliniShukrani kwa magazeti mkuu
Shukrani mkuu shululu kwa magazeti UbarikiweSina la ziada kutoka magazetini kwa leo, kwa udhamini mnono wa Sakayo mwana wa T,
Jumamos njema
1940 - Mauaji ya Wayahudi chini ya utawala wa Hitler ( The Holocaust ) : Wafungwa wa kwanza ( wayahudi ) waanza kuwasili katika gereza jipya la Auschwitz huko Ujerumani.
What goes around comes around1969 - Abdallah Kassim Hanga anapelekwa Zanzibar kujibu mashtaka yake ua Uhani dhidi ya Serikali ya Rais Abeid Amani Karume.
Hanga alikuwa ni mmoja kati ya Wanamapinduzi wa Zanzibar walioshiriki kikamikifu katika kuondoa utawala dhalimu wa Mwarabu visiwani humo.
Baada ya mapinduzi akawa Waziri Mkuu wa kwanza wa Zanzibar kwa miezi mitatu kabla ya kukosana na Karume na kuhamishiwa Bara ambapo baadae akenda kuwa Balozi.
Baada ya tuhuma za Uhaini, kujaribu kupindua serikali ya Karume akarudishwa nyumbani na kuwekwa kizuizini Tz Bara.
Karume akamuimba Nyerere apelekewe Hanga ili akajibu tuhuma zake.
Nyerere akakubali kumpeleka Kassim Hanga Zanziba, ambapo hakuwahi kupandishwa mahakamani waka hakuwahi kuonekana tena mpaka leo. Aliuwawa na kuzikwa kusikojulikana.
Morning ChaplinMorning all
Aisee, kumbe juzi juzi tu1948 - Chiang Kai-shek anachaguliwa kuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa China.
Shukrani mkuu Bitoz kwa darasa huru![]()
Muwe na week end njema
.........
Sio tena Jorowe?Nimeamka salama sana mdau. Aksante.
Ila neno mkuu niliachana nalo nilioposhushwa cheo.
Niite mzee wa saa mpya.
Wewe umeamkaje lakini
Mukongo mamboHabari zenu?
Sakayo TShukrani mkuu shululu kwa magazeti Ubarikiwe
BTW Sakayo si mwana bali ni mke halali wa T