Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Dada gwalembukaHabari ya asubuhi wapendwa
Dada gwalembukaHabari ya asubuhi wapendwa
1989 - Serikali ya China yaamua kutumia nguvu za Kijeshi dhidi ya maandamano ya Wanafunzi nchini humo waliokuwa wanapinga ukandamizwaji wa Demokrasia, kudorora kwa thamani ya Pesa yao, Undugu katika ajira, Rushwa na huduma mbovu za kijamii.
Matokeo yake watu takribani 2500 walipoyeza Maisha katika kile kilichokuja kujulikana kama Tiananmen square massacre.
Mvuvi habari yakoZa asubuhi....
Nalembuka kaka gwaja mukomuDada gwalembuka
Mzima ipongoloNzuri Mondray.
HBD Roger Milla, pia wachezeji walioongezwa kwenye hatua za mwisho na timu zao ndio walionesha uwezo mkubwa1952 - Roger Milla anazaliwa.
Straika wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon.
Baada ya Cameroon kufuzu kombe la dunia mwaka 1990, Milla aliombwa na Rais wa Cameroon ashiriki michuano hiyo wakati huo alikuwa amestaafu kabumbu. Akakubali ombi la Rais.
Akaenda world cup ya mwaka 1990 na akawa mmoja kati ya mastaa wa michuano hiyo pale alipowafunga Colombia na kwenda kushangilia kwenye kibendera kwa style ya upekee.
Nawe pia ChaplinMuwe na asubuhi njema Makapuku wote
Tutaonana baadae kwenye ratiba ya michezo na UF
Ahsante
Safi broMvuvi habari yako
Nipo dada sema hapa mjini kazi zimenizidiHbr ya asubuhi kaka,uliadimika kweli
HBD Iker Casillas1981 - Iker Casillas anazaliwa.
Golikipa wa Porto na timu ya taifa ya Spain.
Moja ya magoli kipa bora kuwahi kucheza soka.
Ameshinda kila taji katika maisha yake ya kucheza kabumbu.
HBD Peter1982 - Petr Cech anazaliwa.
Kipa namba 1 wa Arsenal na timu ya taifa ya Czech.
Amewahi pia kudakia Chelsea kwa mafanikio makubwa sana.
Ni mmoja wa magolikipa mahiri kuwahi kucheza EPL.
Nyagei mzima kiongoziUnaendeleaje lakini?
Kiongozi za hapo ulipoNiko poa kabisa
HBD Stephane1986 - Stephane Mbia anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa QPR, Marseille, Seville na timu ya taifa ya Cameroon.
Njema za hapo ulipoNzuri mkuu, za Sugu city
1952 - Roger Milla anazaliwa.
Straika wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon.
Baada ya Cameroon kufuzu kombe la dunia mwaka 1990, Milla aliombwa na Rais wa Cameroon ashiriki michuano hiyo wakati huo alikuwa amestaafu kabumbu. Akakubali ombi la Rais.
Akaenda world cup ya mwaka 1990 na akawa mmoja kati ya mastaa wa michuano hiyo pale alipowafunga Colombia na kwenda kushangilia kwenye kibendera kwa style ya upekee.
Aisee, HBD and RIP1924 - Zelmar Michelini anazaliwa.
1976 - Zelmar Michelini anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwandishi wa habari kutoka nchini Uruguay.
Aliuwawa kutokana na misimamo yake katika kazi yake.
Ni mmoja kati ya watu maarufu wachache kuzaliwa na kufariki tarehe na mwezi unaofanana.