Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Shukrani kwa magazeti mkuuSina la ziada kutoka magazetini kwa leo, kwa udhamini mnono wa Sakayo mwana wa T,
Jumamos njema
Shukrani kwa magazeti mkuuSina la ziada kutoka magazetini kwa leo, kwa udhamini mnono wa Sakayo mwana wa T,
Jumamos njema
Mama mchungaji za asubuhiAsante sana![]()
Nzuri mkuu, za Sugu cityMkuu habari yako
Pamoja sana mkuu ipogoloAsante mkuu weekend njema. Tunasubiri kutangazwa bingwa.
Mbona hupatikani we Kivuruge wa LeeNamshukuru Mungu Antonio naendelea vizuri
Yapo sana tu
Sawa mkuu dada sijamwona yuko wapi
Ha hahhahaha, acha woga shangaziangu, unadhani hata sisi tunazitaka hizidhambi basi!?
Dhambi zenyewe tu ndo, mfano mimi kwa BH, dhambi zinanipenda, tena sana utadhani huwa nazitolea sadaka
Pole sana Shunie
lee si hayupo inakuchanganyaje sasa
Morning allMuwekee mwenzako dhana kwamba hatakumwaga daima
Asante, nawe pia siku njema mvuvi![]()
Muwe na week end njema
.........
Morning torvicmorning!
Pamoja sana mkuu, limechelewa kuingia mtandaoniMrisho Cumbo......
What a joke?
Kisheria sijaona kosa lolote hakuna sheria ya namna ya kutoa rambirambi
Wastage of time !!!!
.
.
.
Gazeti la Mwananchi sijaliona
Shukrani mkuu
......
Mzee wa saa mpyaNimeamka salama sana mdau. Aksante.
Ila neno mkuu niliachana nalo nilioposhushwa cheo.
Niite mzee wa saa mpya.
Wewe umeamkaje lakini
Ni mtu wa wapiMkuu huyu RC sio mjinga ila ni tabia za kwao ndo anajaribu kuzihamishia kwenye jamii nyingine
Fuatilia historia yake utaona kuna hizo chembechembe za mihemko
Leo katika Historia:
1902 - Cuba yapata Uhuru wake toka kwa Marekani.
Pamoja shemu sakayoJumamosi njema kwako pia shemu ake
Dada hivi kule nilipokuita love connect mbona haujaja aisee wadada wa jf wanamgombania mwanaume wao halaf ni mume wa mtu sasa yaan ni ujinga na upumbavu hilo lijanaume huko alipo anawacheka tu
halaf ukipata mda nipigie kwenye halotel nikuchekeshe ufe

Niko poa kipenzi changu, za mwamkoMorning sweetheart,hope uko good