Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1948 - Chiang Kai-shek anachaguliwa kuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa China.
.......
1948 - Chiang Kai-shek anachaguliwa kuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa China.
Litupie kama tayariPamoja sana mkuu, limechelewa kuingia mtandaoni
Hujambo?Bomba kaka..
U hali gani..
NaamChaplin
Salama tu baba mchungajiHabari zenu?
Get well soon my dear.lee wangu mekumiss hunnie mpaka nakufwanimekuja mara moja kukusalimia bado sijiskii vizuri
shemela shululu jaman kila nikiingia sikukuti nimekumiss sana na mama mchuchu wangu
binamu obe miss u binamu wangu bila kumsahau mukongo na Bitoz na Mussolin na msukuma na snipes
Sijambo boyHujambo?
1967 - Chama cha siasa chaThe Popular Movement of the Revolution chaanzishwa huko Zaire chini ya Uongozi wa Dikteta Mobutu Sesseseko.
Kikawa chama tawala nchini humo chini ya mfumo wa chama kimoja.
Salama mekumic!Niko poa kipenzi changu, za mwamko
Huku kama Mungu alivyo toa kibali chakehuku hofu toa kamanda, nimeamka vizuri tu
sijui wewe umeamkaje uko
Sakayo mzima?Mdogo wangu mie apaaaa
1971 - Chuknagar Massacre: Majeshi ya Pakistani yaua takribani watu 8,000 ambao wengi wao ni Wahindu katika eneobla Chuknagar wakati wa Vita vya ukombozi wa Bangladesh.
Poa shem hbrHabari zenu?