Makapuku Forum

Makapuku Forum

1969 - Abdallah Kassim Hanga anapelekwa Zanzibar kujibu mashtaka yake ua Uhani dhidi ya Serikali ya Rais Abeid Amani Karume.

Hanga alikuwa ni mmoja kati ya Wanamapinduzi wa Zanzibar walioshiriki kikamikifu katika kuondoa utawala dhalimu wa Mwarabu visiwani humo.

Baada ya mapinduzi akawa Waziri Mkuu wa kwanza wa Zanzibar kwa miezi mitatu kabla ya kukosana na Karume na kuhamishiwa Bara ambapo baadae akenda kuwa Balozi.

Baada ya tuhuma za Uhaini, kujaribu kupindua serikali ya Karume akarudishwa nyumbani na kuwekwa kizuizini Tz Bara.

Karume akamuimba Nyerere apelekewe Hanga ili akajibu tuhuma zake.

Nyerere akakubali kumpeleka Kassim Hanga Zanziba, ambapo hakuwahi kupandishwa mahakamani waka hakuwahi kuonekana tena mpaka leo. Aliuwawa na kuzikwa kusikojulikana.
 
1991 - Wananchi wa Croatia wanapiga kura ya kudai Uhuru wao.
66c4e48e4a2f8d8db83bcb78788559c9.jpg
6239b2fb564c0131723ded36d43e9aa9.jpg

Zenji wanasubiri mini?
.....
 
1979 - Andrea Pirlo anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Italy na vilabu vya Juventus, Ac Milan, Inter Milan na L.A Galaxy.

Maarufu kama " The architecture " ni moja kati ya viungo bora kuwahi kutokea katika mchezo wa kabumbu.

Ameshinda karibu kila taji katika soka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom