shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hii kampeni ya Leo sijaielewa
Duh aiseeWeeee, bora uendelee kuumwa tu ila habari ya kumpa saa lazima kuwepo masharti, tena naona hata mahakama itapendelea tunatafuta mganga mmoja anatulisha yamini.
Akinimwaga anarudisha saa
Usiogope
Nzuri mkuuAsante mkuu habari ya kibaha
mm sipo sitaki dhambiHii kampeni ya Leo sijaielewa
ZABURI 63
Unapolala unatafakari nini?
Usiku wa leo mwambie Mungu ASANTE pamoja na mapito yote na misukosuko ya maisha ,kuuguliwa,tabu kukosa chakula lipo jambo kubwa ambalo Mungu anaendelea kufanya katika maisha yako ambalo utaliona pale utakapomtafakari yeye tu na kumshukuru...Mshukuru Mungu kwa kila jambo naendelea kumtafakari usiku wa leo kwa matendo yake makuu ya upendo na wema.

Mkuu mi niko katikati maana yule ni dadangu..wewe si chama cha upinzani, utaielwaje sasa?
Weeee, bora uendelee kuumwa tu ila habari ya kumpa saa lazima kuwepo masharti, tena naona hata mahakama itapendelea tunatafuta mganga mmoja anatulisha yamini.
Akinimwaga anarudisha saa




mambo ya kuchanjiana damu hivi bado yapo hayo mambo
Nimependa huo utamaduni wenu.Sisi ukoo mzima tuna utamaduni wa kukutana kijijini kwetu pamoja tukiwa na wanafamilia kila mwishoni au mwanzoni mwa kila mwaka
Hata sherehe zetu za harusi ni palepale kwa babu zetu hata uwe Profesa na hela zako
Ndo utaratibu tuliojiwekea
.........
Inatuchanganya bhanaainakuudhi au bora ukae kimya hivyo unavyoongea kuhusu hii avatar nitakua siitoi kabisa
Asante kwa neno mama mchungajiZABURI 63
6.Ninapokukumbuka kitandani mwangu,Nakutafakari wewe makesha yote ya usiku.
Unapolala unatafakari nini?
Je unatafakari shida?dhiki tabu,magonjwa,misiba,kukosa,kufukuzwa kazi,kukataliwa
Usiku wa leo mwambie Mungu ASANTE pamoja na mapito yote na misukosuko ya maisha ,kuuguliwa,tabu kukosa chakula lipo jambo kubwa ambalo Mungu anaendelea kufanya katika maisha yako ambalo utaliona pale utakapomtafakari yeye tu na kumshukuru...Mshukuru Mungu kwa kila jambo naendelea kumtafakari usiku wa leo kwa matendo yake makuu ya upendo na wema.
TUOMBE
Asante Baba kwa wema wako,tunajikabidhi mikononi mwako huku tukiutafakari wema na fadhili zako.
Tunaomba ulinzi wako na uwe nasi malaika walinzi watuzunguke katika vitanda vyetu akitusaidia kukutafakri na kutupa ulinzi wa mwili na roho.
Tunaomba utuamshe salama na utupe amani ya mwili na roho..utupe matumaini.
Tunawakabidhi kwako wagonjwa,yatima,wafiwa naomba faraja itawale.
Naomba katika jina la Yesu mpatanishi na mwokozi wetu
AMEN
.
MBARIKIWE USIKU MWEMA![]()
![]()
Pole Mungu akuponye mwili na rohoniliwamiss sana binamu nilikua naumwa vipi unaendeleaje mama mchuchu vipi anaendeleaje

Ameen mama mchuchuZABURI 63
6.Ninapokukumbuka kitandani mwangu,Nakutafakari wewe makesha yote ya usiku.
Unapolala unatafakari nini?
Je unatafakari shida?dhiki tabu,magonjwa,misiba,kukosa,kufukuzwa kazi,kukataliwa
Usiku wa leo mwambie Mungu ASANTE pamoja na mapito yote na misukosuko ya maisha ,kuuguliwa,tabu kukosa chakula lipo jambo kubwa ambalo Mungu anaendelea kufanya katika maisha yako ambalo utaliona pale utakapomtafakari yeye tu na kumshukuru...Mshukuru Mungu kwa kila jambo naendelea kumtafakari usiku wa leo kwa matendo yake makuu ya upendo na wema.
TUOMBE
Asante Baba kwa wema wako,tunajikabidhi mikononi mwako huku tukiutafakari wema na fadhili zako.
Tunaomba ulinzi wako na uwe nasi malaika walinzi watuzunguke katika vitanda vyetu akitusaidia kukutafakri na kutupa ulinzi wa mwili na roho.
Tunaomba utuamshe salama na utupe amani ya mwili na roho..utupe matumaini.
Tunawakabidhi kwako wagonjwa,yatima,wafiwa naomba faraja itawale.
Naomba katika jina la Yesu mpatanishi na mwokozi wetu
AMEN
.
MBARIKIWE USIKU MWEMA![]()
![]()

Yapo sana tumambo ya kuchanjiana damu hivi bado yapo hayo mambo
Sawa mkuu dada sijamwona yuko wapiNzuri mkuu
mm sipo sitaki dhambi
Pole sana ShunieAmeen kaka![]()
lee si hayupo inakuchanganyaje sasaInatuchanganya bhanaa
Sawa dadamm sipo sitaki dhambi