Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Sean John Combs
ad99d69a871b9472e9fef2935cdd6106.jpg
7248361385d50a79c64bece80ee8dc62.jpg
013abf20475c9d2722ef23d737b24458.jpg
3427af6e918a4e1758edacbc21860f17.jpg

Ana umri wa miaka 44 anajulikana zaidi kama P Diddy
Enzi hizo wakati damu ikimchemka alikuwa akitoka kimapenzi na Jennifer Lopez
Anamiliki kampuni kibao ikiwemo ya mavazi iitwayo Sean John
Anamiliki pia studio
Ana utajiriunaofikia USD 630 Milioni
......
Kumbe P ndo mwenye Sean John zinazozagaa mtaani kwetu.
 
ZABURI 63

6.Ninapokukumbuka kitandani mwangu,Nakutafakari wewe makesha yote ya usiku.

Unapolala unatafakari nini?

Je unatafakari shida?dhiki tabu,magonjwa,misiba,kukosa,kufukuzwa kazi,kukataliwa

Usiku wa leo mwambie Mungu ASANTE pamoja na mapito yote na misukosuko ya maisha ,kuuguliwa,tabu kukosa chakula lipo jambo kubwa ambalo Mungu anaendelea kufanya katika maisha yako ambalo utaliona pale utakapomtafakari yeye tu na kumshukuru...Mshukuru Mungu kwa kila jambo naendelea kumtafakari usiku wa leo kwa matendo yake makuu ya upendo na wema.

TUOMBE

Asante Baba kwa wema wako,tunajikabidhi mikononi mwako huku tukiutafakari wema na fadhili zako.

Tunaomba ulinzi wako na uwe nasi malaika walinzi watuzunguke katika vitanda vyetu akitusaidia kukutafakri na kutupa ulinzi wa mwili na roho.
Tunaomba utuamshe salama na utupe amani ya mwili na roho..utupe matumaini.
Tunawakabidhi kwako wagonjwa,yatima,wafiwa naomba faraja itawale.
Naomba katika jina la Yesu mpatanishi na mwokozi wetu

AMEN
.
MBARIKIWE USIKU MWEMA
Ameni barikiwa nawe pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom