shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Niko mazoezini si unajua tenaTwampompo = twambombo
Au mi ndo sijaelewa lugha
Niko mazoezini si unajua tenaTwampompo = twambombo
Au mi ndo sijaelewa lugha
Niaje Obe
inakuudhi au bora ukae kimya hivyo unavyoongea kuhusu hii avatar nitakua siitoi kabisaToa hii avatar basi
Sante shemela mambo yakoPole shemela
acha tu shemela nilishikwa sana jana niliingia mida kama hii nikakukuta haupoSio kwa kupotea huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio umfundishe shemeji yakoTwampompo = twambombo
Au mi ndo sijaelewa lugha
Sawa usijali mkuuNiko mazoezini si unajua tena
Hata mi hili jipya kwangu kusema Dada kabadili dini
Ulinifanya nikakonda hizi siku nneshemela wa shunie
basi tumekanwa wote binamu sio wewe tu,,...me mwenyewe mjombaangu simuelewi kabisa, tangu arudi haeleweki. me mwenyewe kanikana mpwae kabisa
Ulinifanya nikakonda hizi siku nneshemela wa shunie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapenzi yana nguvu sana mpk unataka kujifunzaNiko mazoezini si unajua tena
Ulinifanya nikakonda hizi siku nneshemela wa shunie
Iko poa kabisa, karibu urojoNi poa tu mdau wangu, wikend inasemaje hapo Znz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu roho yako ipo kwa mama mchuchu natamani siku mama mchuchu akukubalie tu amuache mukongo...kwani na wewe huwa unakuwa wa mwisho kupata habari? Basi kama umeisikia kwanza tena kutoka kwangu basi jua tu hii habari BH kubadili dini siyo ya kweli. Ni uongo
Eti urojo unakuwa Una ladha gani vileIko poa kabisa, karibu urojo
Sawa nitamfundisha ndo maana nime msahihisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio umfundishe shemeji yako
Yako poa, mama mchungaji alisali kwa ajili yakoSante shemela mambo yako
jaman najua shemela wangu unavyonipenda nimerudi jinenepee tuUlinifanya nikakonda hizi siku nne
Jana nililala mapema sanaacha tu shemela nilishikwa sana jana niliingia mida kama hii nikakukuta haupo