Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Yako poa, mama mchungaji alisali kwa ajili yako
nashkuru sana kwa sala Mungu azidi kumbariki mama mchuchu
Yako poa, mama mchungaji alisali kwa ajili yako
nashkuru sana kwa sala Mungu azidi kumbariki mama mchuchuNzuri mkuu, najua leo ndio umerudi MbeyaSawa usijali mkuu
Mzima za siku mbili tatu
Sikuwepo hewani kama siku tatu hivi ndo maana nimepitwa na mengi...kwani na wewe huwa unakuwa wa mwisho kupata habari? Basi kama umeisikia kwanza tena kutoka kwangu basi jua tu hii habari BH kubadili dini siyo ya kweli. Ni uongo
leo najua week end si imeanza mzee wa kinyerezi upo makhirikhiriJana nililala mapema sana
binamu roho yako ipo kwa mama mchuchu natamani siku mama mchuchu akukubalie tu amuache mukongo
Sijui mukongo kama atakubalibinamu roho yako ipo kwa mama mchuchu natamani siku mama mchuchu akukubalie tu amuache mukongo
Tutamfundisha nitamwambia Dada amfundishemapenzi yana nguvu sana mpk unataka kujifunza
safi sana shemela ndio inavyotakiwa pendaneni tu hakuna namna ingine
Eti urojo unakuwa Una ladha gani vile
Ni mpaka mraji auonje ndio aseme ladha yakeEti urojo unakuwa Una ladha gani vile
...duh, nitaruka weweweeee, afu umejuaje, ikiwa kweli nakutabiria uganga




utarukaje binamu yaan sipati picha na saa atapewa
Asante shemela, karibu tenajaman najua shemela wangu unavyonipenda nimerudi jinenepee tu
Shunie shunie nakuona nakuo nabinamu roho yako ipo kwa mama mchuchu natamani siku mama mchuchu akukubalie tu amuache mukongo
ya ugwadu flani hiviEti urojo unakuwa Una ladha gani vile
Nipo forodhani hapa mji mkongwe nakula samaki tuleo najua week end si imeanza mzee wa kinyerezi upo makhirikhiri
asante sana shemela wanguAsante shemela, karibu tena
Na pole kwa kuumwa
mimi ndioShunie shunie nakuona nakuo na