EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
HakikaTrue. Nadhani italeta hamasa zaidi na sie tumwambie Shimba aje kutuchukua.
Itakuwa ana mda hajaingia humuAta mimi namshangaa ila kwenye Uzi wangu alisema ye ni kapuku
Na mie nataka nkuletee kinywaji.Sminorf Ice tafadhali..
Hata sijapata muda wa kuperuzi humu ndani..ngoja niangalie atakayenivutiaNdio umkubalie sasa
Hujaona avatar yakeAisee
kwema mkuuTu wazima, za porini
Ni mzuriHuu urithi huu
Vizuri sana mkuuWala hujapotea, hapa ndo sehemu husika ya kuondoa stress zote za maisha. Nahitaji nitengeneze 'couple' na wewe humu ndani.
Natuma maombi....
![]()
![]()
![]()
Upo Ntuzu au California
Pita kushoto then kata kulia nenda na ile barabara moja kwa moja utakuta police post jieleze hapo na utasaidiwa
linamtoshaImeshafikaCc Nyagei
shunie kakimbiliaa wapiii ?Sie wazima sana mkuu
Masihara hayo sasa. Nitaipataje sasa?Karibu![]()