Makapuku Forum

Makapuku Forum

Serengeti Boys wapo vizuri tatizo wafupi km stuli pia kukosekana kwa mpiga freekick mjanjamjanja ni tatizo pamoja na kushindwa kuua mechi

Kuna watu hapa tulivyodraw na Mali walikuwa vinara wa kuponda eti jatimu gani kanapaki basi nikawauliza mnaijua Mali? Subirini mechi ijayo mtaona
Na leo wamezibwa midomo

Mechi ijayo tukikaza tunapiga tu na kusonga mbele maana hadi sasa Niger wanaona nyota tu kwa Mali
.........
Shukrani mkuu
 
1/Lake Hillier
cf00833476c23a93e2febce658f0f0a0.jpg
cb723f0191d12b2da06c0a2f05829332.jpg

Hili pia lipo Australia
Rangi yake ni ya kudumu hata maji yake yakichotwa bado hubakia vilevile
Wanasayansi hadi leo hawajui sababu
.
.
.
.
.
Shukrani kwa waliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Ahsante kwa Top Ten Bitoz.....inaonekana Australia ndio yapo Mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom