EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
True. Nadhani italeta hamasa zaidi na sie tumwambie Shimba aje kutuchukua.Tupe updates
True. Nadhani italeta hamasa zaidi na sie tumwambie Shimba aje kutuchukua.Tupe updates
Call me jMuulize Shimba ya Buyenze..
Kwa ufupi tuu kuna totoz za haja..!![]()
Mi sio chadema
AiseeNaye yupo honeymoon
Huko hukoKolomije
Pita kushoto then kata kulia nenda na ile barabara moja kwa moja utakuta police post jieleze hapo na utasaidiwaNimejikuta tu humu
Huu urithi huuPenseni-Pensheni
Wala hujapotea, hapa ndo sehemu husika ya kuondoa stress zote za maisha. Nahitaji nitengeneze 'couple' na wewe humu ndani.Na mimi sioni direction nahisi nimepotea njia.

Kazana mkuu
Cc NyageiSminorf Ice tafadhali..
Hahaha Shukrani mkuuPenseni-Pensheni
Bado nashangaa shangaa kwanza nikihitaji msaada nitafata maelekezo yakoPita kushoto then kata kulia nenda na ile barabara moja kwa moja utakuta police post jieleze hapo na utasaidiwa
Haimaanishi chadema, Bali ni AmaniMi sio chadema
Wewe ni mgeni mzuri sanaSminorf Ice tafadhali..