Makapuku Forum

Makapuku Forum

7337879fdb47b58ea81a4458e0103395.jpg
 
c1f7dff4861707f77a7859854ca481eb.jpg
ee25ce4287cfc42354c90386ebbaa673.jpg
2b9e12cf4d3644aecf0d0e18bb6198f6.jpg
Alikuwa ni nahodha wa Rwanda"Amavubi"
Kama sijakosea msimu huo kwenye dhidi ya Yanga alifunga magoli mawili
Huo ndo msimu wa mwisho Mezani Fc kuchukua ubingwa VPL
Cha kusikitisha zaidi viongozi wa Simba walikula rambirambi pia Mafisango alizikwa kimaskini huko kwao DRC
Laana ya rambirambi haitawaacha
Mimi Yanga lakini Mafisango nilikuwa namkubali ni mmoja wa kiungo bora kuwahi kucheza VPL
.......
Hii tabia ya kula rambirambi kumbe ilianza siku nyingi aisee, baadaye itahalalishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom