Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakika mkuu nakuunga mkono kwa 100%.

Mafisango ni mmoja kati ya wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza VPL kando ya Emmanuel Arnold Okwi, Kipre Herman Tchetche na Haruna Hakizimana Fadhili Niyonzima.

Kikosi kile cha Simba hakika kilisheheni vipaji murua kama Juma Kaseja, Haruna Moshi Shaaban Mawela Boban, Okwi, Sunzu, Juma Said Nyosso na wengineo.

R.I.P Mutesa Mafisango.
Halafu siku hizi wanajaza magarasa halafu wanasingizia Yanga inabebwa hebu angalia jeshi la Yanga kule mbele
Msuva ana goli 13
Obrey Chirwa 11 au 12
Amisi Tambwe 11 au 12
Donald Ngoma 08(Huyu hajacheza toka Jan/Feb)
.
Wao Simba wana akina Mavugo na Kichuya asiye na kiwango cha kudumu
Kipindi kile Yanga tulikuwa tunafungwa kila siku tukicheza na Simba hadi kuna siku tukaingia mitini bila kusahau zile 5 za aibu ambazo hadi Kaseja alifunga
.....
 
35ee46929473f4e93aae61ee036e3ccc.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom