Makapuku Forum

Makapuku Forum

ISAYA 43

1.Lakini ,sasa BWANA aliyekuhuluku,Ee Yakobo,yeye aliyekuumba .Ee Israel,asema hivi,USIOGOPE,maana nimekukomboa;nimekuita kwa jina lako,WEWE U WANGU...(SISI NI WA MUNGU)

HAPA TUNAITWA KWA MAJINA YETU

-FAKALAVA
-LEE EMPIRE
-OBE
-WERASSON
-SHUNIE
-SHULULU
-CYLKEI
-NYAGEI
-MUSSOLIN5
-SHIMBA YA BUYENZE
-BITOZ
-SHEDEDE
-TUMOSA
-MONDRAY
-QUIGLEY
-SAKAYO
-TRANCSEND
-VALENTINA
-BLESSEDHOPE
-BAILY5
-HUSNA MUBA
-IPOGOLO
-UKHUTHY
-QUEEN
-TETRA....
-ARCHIDUKE
-SNIPES
-MNDALI
-MSAKA-UCHAWI
-DINGIMTOTO
-MAKAPUKU WOTE
NA WENGINE SIJASHIKA MAJINA (MNISAMEHE)UJUMBE HUU UNATUHUSU ASUBUHI YA LEO

2.Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hutateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza.

3.Maana mimi ni BWANA MUNGU wako ,MTAKATIFU wa Israel,MWOKOZI wako ,nimetoa Misri kuwa ukombozi wako ,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.

4.Kwakuwa ulikuwa waTHAMANI MACHONI PANGU,na mwenye KUHESHIMIWA,nami NIMEKUPENDA,Kwasababu hiyo nitatoa WATU kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako

5.USIOGPE MAANA MIMI ni PAMOJA nawe,nitaleta wazao wako toka magharibi.


Wapendwa Mungu anatupenda sana ,na ametupa matumaini ya kuishi kwa furaha na hata TUSIOGOPE

TUSIOGOPE MAANA YUKO PAMOJA NASI.ANATUPENDA,ANATUTHAMINI,ANATUJALI

WOGA HULETA KUKATA TAMAA NA HAKIKA HATUPASWI.

KWALOLOTE TUNALOPITIA TUMTANGULIZE MUNGU MBELE YEYE NDIO MUANZILISHI NA MMALIZIAJI WA MAISHA YETU.

TUFANYE KAZI KWA BIDII,TUMHESHIMU,TUMPENDE NA HAKIKA TUTAYAONA MEMA MENGI NA AHADI ZAKE ZOTE ZITATIMIA

TUOMBE

Baba asante kutuamsha salama
Asnte kwa upendo wako usio na mwisho
Tunaomba ututoe roho ya woga na tukutumaini wewe siku zote za maisha yetu

Tufundishe kukupenda ,kukutii,kukuheshimu maana itatujenga kuwa na Upendo kuwa watii na kujiheshimu daima.
Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,na utusaidie tuwasamehe wale wote waliotukosea ili tusonge mbele.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa na wote wanaopitia changamoto yoyote..WASIOGOPE.

ASANTE BABA KWA KUWA UTATUPA KUSHINDA
Naomba katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA...MSIOGOPE
Ndioo

AMEN

 
2012 - Patrick " Petii " Mutesa Mafisango anafariki Dunia.

Kiungo wa zamani wa APR Azam Fc, Simba Sc na timu ya taifa ya Rwanda.

Alifariki kwa ajali ya gari eneo la Chang'ombe jijini Dar Es Salaam.
c1f7dff4861707f77a7859854ca481eb.jpg
ee25ce4287cfc42354c90386ebbaa673.jpg
2b9e12cf4d3644aecf0d0e18bb6198f6.jpg
Alikuwa ni nahodha wa Rwanda"Amavubi"
Kama sijakosea msimu huo kwenye dhidi ya Yanga alifunga magoli mawili
Huo ndo msimu wa mwisho Mezani Fc kuchukua ubingwa VPL
Cha kusikitisha zaidi viongozi wa Simba walikula rambirambi pia Mafisango alizikwa kimaskini huko kwao DRC
Laana ya rambirambi haitawaacha
Mimi Yanga lakini Mafisango nilikuwa namkubali ni mmoja wa kiungo bora kuwahi kucheza VPL
.......
 
c1f7dff4861707f77a7859854ca481eb.jpg
ee25ce4287cfc42354c90386ebbaa673.jpg
2b9e12cf4d3644aecf0d0e18bb6198f6.jpg
Alikuwa ni nahodha wa Rwanda
Kama sijakosea msimu huo kwenye dhidi ya Yanga alifunga magoli mawili
Huo ndo msimu wa mwisho Mezani Fc kuchukua ubingwa VPL
Cha kusikitisha zaidi viongozi wa Simba walikula rambirambi pia Mafisango alizikwa kimaskini huko kwao DRC
Laana ya rambirambi haitawaacha
Mimi Yanga lakini Mafisango nilikuwa namkubali ni mmoja wa kiungo bora kuwahi kucheza VPL
.......
Rip Cap Mafisango
 
c1f7dff4861707f77a7859854ca481eb.jpg
ee25ce4287cfc42354c90386ebbaa673.jpg
2b9e12cf4d3644aecf0d0e18bb6198f6.jpg
Alikuwa ni nahodha wa Rwanda
Kama sijakosea msimu huo kwenye dhidi ya Yanga alifunga magoli mawili
Huo ndo msimu wa mwisho Mezani Fc kuchukua ubingwa VPL
Cha kusikitisha zaidi viongozi wa Simba walikula rambirambi pia Mafisango alizikwa kimaskini huko kwao DRC
Laana ya rambirambi haitawaacha
Mimi Yanga lakini Mafisango nilikuwa namkubali ni mmoja wa kiungo bora kuwahi kucheza VPL
.......
Hakika mkuu nakuunga mkono kwa 100%.

Mafisango ni mmoja kati ya wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza VPL kando ya Emmanuel Arnold Okwi, Kipre Herman Tchetche na Haruna Hakizimana Fadhili Niyonzima.

Kikosi kile cha Simba hakika kilisheheni vipaji murua kama Juma Kaseja, Haruna Moshi Shaaban Mawela Boban, Okwi, Sunzu, Juma Said Nyosso na wengineo.

R.I.P Mutesa Mafisango.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom