Makapuku Forum

Makapuku Forum

7ff4bddc06076c3895537e1eb160b1d7.jpg

Profesa keshaanza siasa

....
 
hahahahaaa some how yes/no...
si unajua huwezi ukasimama moja kwa moja unajiangalia, unatembea huku unajiangalia,
akili yako uigawe mara tatu, kwanza unapoelekea usigongane na mtu
pili mtu asigundue kama unajiangalia kwenye kioo
tatu ujue kama upo chicha au ovyo

daah! wewe jamaa umenichekesha! hiyo akili ulivyo igawa mara tatu, bila shaka wewe utakuwa jiniazi tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom