shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kipara1981 - Leon Osman anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Everton Fc.
Kipara1981 - Leon Osman anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Everton Fc.
karibu! SweetiepieHabari zenu Makapuku, nimewamiss sana jaman!
Jirani upo, karibu tena makapukuHabari zenu Makapuku, nimewamiss sana jaman!
RIP2012 - Gideon Ezra anafariki Dunia.
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel.
RIP2013 - Jorge Rafael Videla anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa 42 wa Argentina.
2000 - Mechi ya Arsenal na Galatasaray katika fainali ya kombe la Uefa yatawaliwa na ugomvi wa mashabiki.
siku njema na kwako mkuu Mussolin5Leo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
19o kMorning mkuu

asanteni kwa vipindi na sala
cc; Transcend
cc: Shululu
cc: Mama yetu
habari za asubuhi wanafamilia....muwe na siku njema

Shukrani mkuu tuko pamojaHongera kwa 190K
Asante musolini kwa leo katikaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
ShukrAniLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
uyo mjamaa anaekula kichapo inaonaka alikaa jukwaa pinzani, kipigo kikamshukia yeye![]()
![]()
![]()
Galatasaray![]()
Arsenal![]()
Mechi ilipigwa huko Uturuki kipindi hicho timu zote nilikuwa na wanaume wa shoka na wenye vipaji
......
Great bila shaka ulikuwa mhandisi hapoPpf tower
HakikaShukrani mkuu tuko pamoja
Siku imeanza mubashara kabisa
Basi sawa wacha ataifishwe tu.Ndio hivyo
kuna kipindi nilikuwa napita hiyo njia ili nikajiangalie kwenye vile vioo kama nipo chicha au vipi....si unajua mambo kupigana vikumbo kwenye magari

Mubashara ni hali gani?Shukrani mkuu tuko pamoja
Siku imeanza mubashara kabisa
Hakika Mungu ni mwemamakapuku za asubuhi!
ni imani yangu kuwa mmeamka na amani mioyoni mwenu,