shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nawe pia usiku mwema mama mchungajiZABURI 46
1.Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso
2.Kwahiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi,Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari.
3.Maji yake yajapovuma na kuumuka,ijapopepesuka milima kwa kiburi chake
TUOMBE
Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa Wewe ndiye kimbilio na nguvu yetu,msaada wa kila jambo tunajikabidhi mikononi mwako usiku wa leo utukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali,mkono wako ukatukumbatie kama kuku anavyokumbatia vifaranga,tunakwenda kinyume na nguvu zotevza giza ,tunaomba malaika walinzi wakawe nasi usiku kucha.
tuliza wafiwa,yatima wagonjwa,bariki kila mipango tunayopanga tusipungukiwe.
Mapenzi yako yatimie.
Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu amen
USIKU MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Na ufunikwe na damu ya Yesu
ZABURI 46